okiwira JF-Expert Member Jul 23, 2018 2,787 2,853 Aug 3, 2020 #1 Ha ha ha ha wanachadema naomba tena naomba mnitukane kadri ya uwezo wenu. Ila ili niwapende sio ombi amri mfunzeni LISSU juu ya kuutumia ulimi wake vizuri ili anipate asinitukane kwa kuwa naipenda CCM. Anipe somo mbona kifua changu chepesi.
Ha ha ha ha wanachadema naomba tena naomba mnitukane kadri ya uwezo wenu. Ila ili niwapende sio ombi amri mfunzeni LISSU juu ya kuutumia ulimi wake vizuri ili anipate asinitukane kwa kuwa naipenda CCM. Anipe somo mbona kifua changu chepesi.
LIMBOMAMBOMA JF-Expert Member Oct 3, 2017 9,211 12,716 Aug 3, 2020 #3 Jpm kwa kuropoka anamzidi lissu 200%, lissu Ni mzalendo 400%, sio mbaguzi anapenda haki
Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,236 Aug 3, 2020 #4 Ww ndo wale 70% ya wambea wa Bashite?
N nguruka wa kig0ma JF-Expert Member Jan 16, 2020 2,946 2,929 Aug 4, 2020 #5 LIMBOMAMBOMA said: Jpm kwa kuropoka anamzidi lissu 200%, lissu Ni mzalendo 400%, sio mbaguzi anapenda haki Click to expand... Kawaambia wakina dada, wanapendeza sana sura zao nzuri!!!!!!
LIMBOMAMBOMA said: Jpm kwa kuropoka anamzidi lissu 200%, lissu Ni mzalendo 400%, sio mbaguzi anapenda haki Click to expand... Kawaambia wakina dada, wanapendeza sana sura zao nzuri!!!!!!