Hapana shaka, sasa Chadema nao watakuja na sera ya kujivua gamba la sivyo CCM itawaumiza 2020Mleta mada umetuwakilisha wengi......inasikitisha sana chadema ya leo, hakuna way foward.
Mie nilitamani (siko kwenye vikao) wakati wa kumkaribisha mamvi kwakuwa ilikuwa ni kama mchezo wa ku bet basi wangekubaliana japo kwa siri kuwa ikiwa mamvi atashindwa uchaguzi mkuu astaafu siasa then sie kama chama tungeendelea kuwa hai kwa kushambulia badala ya sasa mbali ya kushambuliwa (hoja) na ccm lakini pia tunakosa hoja kabisa