NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Leo ningependa kuwauliza wanachama na wafuasi wa cdm mmewahi kumuona Katibu wenu wa chama Dr Slaa akimsema vibaya au kumtaja kwa ubaya wowote Mh Lowassa??
Hata katika orodha aliyotoa pale Jangwani mliona jina la Mh Lowassa?? Lini na wapi Dr Slaa alimtaja EL vibaya?? Wakuu mnaijua sababu ni ipi???
Rejea ahadi ambayo Baba wa Taifa aliiweka juu ya Rais wa Tanzania....
Hata katika orodha aliyotoa pale Jangwani mliona jina la Mh Lowassa?? Lini na wapi Dr Slaa alimtaja EL vibaya?? Wakuu mnaijua sababu ni ipi???
Rejea ahadi ambayo Baba wa Taifa aliiweka juu ya Rais wa Tanzania....