WanaChadema, kama maridhiano ni kuwa CCM watatupa wabunge ili wao waendelee kutawala, huu ni usaliti

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Yaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa.

Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu.

Sio kuwa na uchungu na namna watanzania wanavyoonewa.

Hata 2025 sidhani kama tutapata huo Ubunge.
 
Middle class wa kitanzania nini kimewafika?,why ukiona tatizo usifanye push back mwenyewe?,why unategemea upiganiwe haki zako?,tatizo hapa ni katiba mbovu ndio maana kuna hili tatizo, pigania katiba bora ili iondoe tatizo kama hili
 
ikitokea hadema wakisusia Uchaguzi Mkuu wa 2025 ( ngumu sana kususia) wale Wanasiasa maarufu wa Chama hicho wataelekezwa kuhamia Chama kingine ili wapewe Ubunge katika yale majimbo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya Wapinzani …Makamanda wapo kwny mtihani mzito
 
Yaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa

Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu.

Sio kuwa na uchungu na namna watanzania wanavyoonewa

Hata 2025 sidhani kama tutapata huo Ubunge

Vijana wa chadema bwana akili zenu za ajabu Sana

Si Bora hata mpate hao wabunge?

Kwa akili yenu mnadhani mnaweza kutoa rais wa inchi? Ha ha ha

Kwa viongozi gani mliokuwa nao? Hawa hawa wakina mbowe na lisu au

Acheni kuwaza ndoto za mchana

Kwa chadema hii, hata uchaguzi mkisimamia wenyewe Kwa kila kitu hamuwez hata kupata wabunge 100
 
Middle class wa kitanzania nini kimewafika?,why ukiona tatizo usifanye push back mwenyewe?,why unategemea upiganiwe haki zako?,tatizo hapa ni katiba mbovu ndio maana kuna hili tatizo, pigania katiba bora ili iondoe tatizo kama hili

Katiba mbovu kwenye mambo gani?

Katiba ya sasa inamambo gani ya hovyo kwenye maisha yako?

Katiba ya sasa inakunyima Uhuru wa kufanya mambo gani?
 
ikitokea hadema wakisusia Uchaguzi Mkuu wa 2025 ( ngumu sana kususia) wale Wanasiasa maarufu wa Chama hicho wataelekezwa kuhamia Chama kingine ili wapewe Ubunge katika yale majimbo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya Wapinzani …Makamanda wapo kwny mtihani mzito

Hata wasipopewa anything, hawana cha kufanya, hawana nguvu tena

Mpinzani akishapewa huduma na chama kikuu hapo ujue hakuna upinzani tena
 
Yaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa

Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu.

Sio kuwa na uchungu na namna watanzania wanavyoonewa

Hata 2025 sidhani kama tutapata huo Ubunge
Wewe ni uvccm achana kabisa na mambo ya Chadema
 
ikitokea hadema wakisusia Uchaguzi Mkuu wa 2025 ( ngumu sana kususia) wale Wanasiasa maarufu wa Chama hicho wataelekezwa kuhamia Chama kingine ili wapewe Ubunge katika yale majimbo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya Wapinzani …Makamanda wapo kwny mtihani mzito
Chadema walishanasa kwenye ndoano ni ngumu Sana kujinasua,

Kutoka hapo walipo labda wabadilishe Mwenyekiti kitu ambacho ni ngumu Sana pia..
Sasa hivi CCM ndio wenye rimont ya kuiendesha Chadema.
 
Katiba mbovu kwenye mambo gani?

Katiba ya sasa inamambo gani ya hovyo kwenye maisha yako?

Katiba ya sasa inakunyima Uhuru wa kufanya mambo gani?
Umemsikia Katibu Mkuu wa CCM akisema kwa kujiamini kuwa Chama chake kinataka katiba bora, kitu gani hujaelewa hapo. Kimsingi anatuma ujumbe kuwa Katiba iliyopo inatakiwa kufanyiwa maboresho. Kati yetu - mimi na wewe na wengi wetu kwenye jukwa hili - nani mwenye uelewa mpana ikilinganishwa na KM wa CCM
 
Katiba mbovu kwenye mambo gani?

Katiba ya sasa inamambo gani ya hovyo kwenye maisha yako?

Katiba ya sasa inakunyima Uhuru wa kufanya mambo gani?
Katiba ya sasa inaninyima uhuru wa kuishitaki serikali ninapoona haki yangu imeminywa na serikali, katiba ya sasa inaminya uhuru wangu wa freedom of expression, kwenda ninakotaka kwenda hapa duniani, katiba ya sasa inafanya haki mahakamani isiwe ya haki maana hizi mahakama ni mhimili mdogo wa serikali, maadui wa ujinga, umasikini na maradhi bado wanalindwa na katiba maana huwezi kuifanya serikali iwajibike, katiba ya sasa inampa kila mtawala arresting power, kazi ambayo ni ya police tu, katiba ya sasa imechochea rushwa mno (riziki yangu ninaipata mno barabarani na rushwa iliyopo huko inalindwa na katiba ya sasa)
 
Yaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa

Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu.

Sio kuwa na uchungu na namna watanzania wanavyoonewa

Hata 2025 sidhani kama tutapata huo Ubunge
Maneno ya kuambiwa changanya pia na akili zako. Ukiendekeza maneno ya vijiweni utaishia kumlaumu kila mtu hata kama mwenye udhaifu na mapungufu ni wewe mwenyewe.
 
Katiba ya sasa inaninyima uhuru wa kuishitaki serikali ninapoona haki yangu imeminywa na serikali, katiba ya sasa inaminya uhuru wangu wa freedom of expression, kwenda ninakotaka kwenda hapa duniani, katiba ya sasa inafanya haki mahakamani isiwe ya haki maana hizi mahakama ni mhimili mdogo wa serikali, maadui wa ujinga, umasikini na maradhi bado wanalindwa na katiba maana huwezi kuifanya serikali iwajibike, katiba ya sasa inampa kila mtawala arresting power, kazi ambayo ni ya police tu, katiba ya sasa imechochea rushwa mno (riziki yangu ninaipata mno barabarani na rushwa iliyopo huko inalindwa na katiba ya sasa)

Hayo yote uliyosema shida yake sio katiba, shida yake ni usimamizi

So hata ikija katiba mpya kama usimamizi ni wa hawa hawa watanzania wa Leo means ubakaji wa maamuzi utakuwepo Tu

So ishu sio katiba but ishu ni watu ambao wamasimamia Katiba,

So hata katiba mpya ikija itasimamiwa na watu na sio wanyama

Na hao watu sasa ndio waliofanya katiba ya sasa iwe inaonekana haina maana
 
Katiba mbovu kwenye mambo gani?

Katiba ya sasa inamambo gani ya hovyo kwenye maisha yako?

Katiba ya sasa inakunyima Uhuru wa kufanya mambo gani?

..kamuulize Samia, na Chongolo, maana wamejitokeza na kusema wanataka Katiba Mpya.
 
Back
Top Bottom