Hawana jipya tena. Kashfa zao , kebehi zao zimeishia hapo. Baada ya kuona Serikali haitetereki na propaganda zao wamebaki sasa kuumana wenyewe kwa wenyewe.
Ni rahisi kwatambua wana CDM wasio na hoja,ile akiba yao ya fikra ndio kama hapo juu.Nyoooooooo................gamba mkubwa wewe huna aibu!