Wanabadilisha "Title Deeds"! mchongo mwingine?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya? Kwamba gharama ya kumpata title deeds mpya (yaani ya kubadilisha) ni karibu shiliingi 180,000 na kuna watu wanasema kwa Dar zoezi hilo ili liharakishwe kwa upande wako inabidi ujikunze na karibu shilingi milioni 2!!

Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?

Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?

Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?

Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!

MORONS!! (I'm sorry)...
 
Huu ni Wizi Mtupu! Kwanini hili zoezi lisianze sasa kwa watakaopewa viwanja vipya!? Na wale waliopata muda mrefu basi wafanyiwe bure na je kama hawana TD ndiyo watanyang'anywa viwanja!? Kuna wizi hapa tena mkali sana.
 
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya? Kwamba gharama ya kumpata title deeds mpya (yaani ya kubadilisha) ni karibu shiliingi 180,000 na kuna watu wanasema kwa Dar zoezi hilo ili liharakishwe kwa upande wako inabidi ujikunze na karibu shilingi milioni 2!!

Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?

Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?

Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?

Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!

MORONS!! (I'm sorry)...

Yaani Tanzania we acha tu mwishoe tutastukizia hadi watanzania tumeuzwa kwa watu
 
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya? Kwamba gharama ya kumpata title deeds mpya (yaani ya kubadilisha) ni karibu shiliingi 180,000 na kuna watu wanasema kwa Dar zoezi hilo ili liharakishwe kwa upande wako inabidi ujikunze na karibu shilingi milioni 2!!

Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?

Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?

Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?

Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!

MORONS!! (I'm sorry)...


Mwanakijiji,

Nimechukua TD mpya hapo Wizarani mwezi wa December, mbona hili sikuambiwa wala kulisikia?

Au limeanza Mwezi wa January/ February?
 
Yebo Yebo.. nadhani kama ni title mpya tayari iko digitized.. gharama yake ilikuwaje? Hiki tunachozungumzia ni kile kinachodaiwa ni "upgrade"..
 
Yebo Yebo.. nadhani kama ni title mpya tayari iko digitized.. gharama yake ilikuwaje? Hiki tunachozungumzia ni kile kinachodaiwa ni "upgrade"..

Nilitakiwa kulipa Tshs 348,298 kwa kiwanja cha 3500 Square Meter, Wilayani Kinondoni.

Sikuambiwa kama ni kwa ajili ya Digital TD. Niliambiwa ni Discreation ya Waziri kutoza fedha hizo kwa ajili ya maendeleo ya eneo kiwanja kilipo.!!!

Nikalipa nikaishia zangu..!!!
 
Nilitakiwa kulipa Tshs 348,298 kwa kiwanja cha 3500 Square Meter, Wilayani Kinondoni.

Sikuambiwa kama ni kwa ajili ya Digital TD. Niliambiwa ni Discreation ya Waziri kutoza fedha hizo kwa ajili ya maendeleo ya eneo kiwanja kilipo.!!!

Nikalipa nikaishia zangu..!!!

ulipewa na stakabadhi yako?
 
Hii nchi ni ngumu kabisa kabisa..! Si kwamba ni ubunifu wa Wizara ya Ardhi bali sera kutoka juu zina ipasa wizara kufanya hivyo..!
 
Hili nalo linasikitisha yote ni ukimya wa MTANZANIA, mwaka haujaisha toka walipotuletea stickers za FIRE na mitungi kuuzwa 15000, sasa hili. Kwanini tunamnyanyasa MTANZANIA, tunaongeza mianya ya rushwa kila siku. Yote haya yanafanyika kuimarisha uchumi wa Nchi au wa Mtu.
 
Kama kuna uozo tanzania hii ni wizara inayoitwa ardhi, kama wako serious inabidi ifanyiwe radical surgery staff wote ( hata mikoani) wafukuzwe mpaka wafigiaji na hata jengo lisitumike ili kuondoa mentality ya uozo wa watu waliowahi kuhudumiwa pale.

Sidhani kama kuna yoyote ataweza kuja na kukiri kuwa angalau amewahi kuridhika na huduma za pale, atakayesema hivyo ni waziri wa ardhi mwenyewe au katibu mkuu wake. wengine wote ni vilio tu.
 
mwisho wa siku kama ni kweli itabidi watu walipe izo charges as will be imposed,..
nashauri utaratibu huu utumike kwa kua kwasasa maisha ya mtanzania yamegubikwa na msululu wa majukumu na uwezo wa kutoa malaki ya fedha kwa mkupuo ni utata, wange weka utaratibu kua unapo kwenda kubadili hati utoe japo elfu hamsini au chini ya hapo au usitoe kabisa na malipo mtu akatwe anapo kwenda kulipia kodi ya kiwanja au majengo, inamaana kodi hizi ziongezeke kwa shs 5000 mfano na mtu akatwe kwa kipindi fulani mpaka deni litakapo kwisha.

Ni mtazamo tu
 
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya? Kwamba gharama ya kumpata title deeds mpya (yaani ya kubadilisha) ni karibu shiliingi 180,000 na kuna watu wanasema kwa Dar zoezi hilo ili liharakishwe kwa upande wako inabidi ujikunze na karibu shilingi milioni 2!!

Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?

Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?

Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?

Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!

MORONS!! (I'm sorry)...

Ndio naelewa kuwa lisemalo lipo na kama halipo basi laja sasa basi MKJJ napenda kujua hizi taarifa au fununu zimisha tangazwa au?

Na kama kweli wametangaza ni lini? mbali na kutangazwa au bado bsi huu ni wizi unatengeneza ingwa twaenda kwa new technology still watupe very concrete reasons jinsi operation yao itakavyo fanyika bir dhuruma wala uonevu

 
Hii mijamaa ikoje sijui inafikiri kuibia walalahoi tu. Kwani kuna ugumu gani kudigitize wakati mtu ana title deed yake. Take alll details then unamrudishia. Na hiyo upgrade ni fault ya nani mpaka mtu alipishwe? Kwani yeye aliwaomba hiyo huduma? Mbona vitambulisho wanatoa bure? Hawakomi hawa mpaka tuwapige mawe...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom