Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya? Kwamba gharama ya kumpata title deeds mpya (yaani ya kubadilisha) ni karibu shiliingi 180,000 na kuna watu wanasema kwa Dar zoezi hilo ili liharakishwe kwa upande wako inabidi ujikunze na karibu shilingi milioni 2!!
Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?
Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?
Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?
Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!
MORONS!! (I'm sorry)...
Lakini kilichomshtusha mtoa data wetu ni uwezekano wa watu ambao wanatafuta upgrades za title deeds zao wanapotakiwa wapeleke zile zamani na wakashindwa kuzipata baada ya muda kupita.. je wanaweza kujikuta title deeds zao zinakuwa revoked na viwanja vyao (ambayo yawezekana tayari vimeendelezwa) kupigwa mnada?
Ninajiuliza, je kuna ulazima gani wa kubadilisha titles ambazo mtu anazo mkononi kwa kumpigia chapa title nyingine wakati hakuna kinachobadilishwa zaidi ya kuingiza information kule kwenye computer system?
Kwa mfano, wakiamua kujidigitized vyeti vya kuzaliwa, itabidi kila mtu apeleke cheti chake cha kuzaliwa halafu apatiwe cheti kipya cha kuzaliwa kwa ada?
Naona kuna wizi wa wazi unajaribiwa kufanywa! Kama mnataka kudigitize hizo title deeds.. YOU DO NOT NEED THE OLD ONE SO YOU GIVE OUT THE NEW ONE UNLESS THE NEW ONE IS A DIGITAL COPY TOO!!
MORONS!! (I'm sorry)...