Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa huu upuuzi kaka...huwezi fananisha dodo na huo wimbo wa huyo dogo na yeye mwenyewe humohumo namaanisha dodo ni kubwa kuliko HUYO MSANII+WIMBO WAKE.Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana...
Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label
Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine bila ya kujali jina wala label aliyopo msanii husika
Upuuzi smartphone wanapata hadi kwa elfu 80 ndo matokeo yake haya hadi watoto wa form 2 wanamilikiIzi zingine Dharau sa
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Mashoga kuisha nchini ni ndoto.Hakuna cha dharau hapo kama Alikiba aliamua kuja kwenye muziki anatakiwa awe tayari kulinganishwa na kupambnishwa na yeyote yule ambaye ana shiriki muziki! Kama hataki basi aachane na muziki!
Ukweli ni kwamba wimbo wa Alikiba a.k.a Mfalme Helode ni mbaya na ni mmoja wa wimbo mbovu sana toka kwa Alikiba hakika Alikiba anavunja moyo.....
Kama ukilinganisha Dodo na Wana kama utaangalia nyimbo tuu lazima ujue Wana ni wimbo mzuri kuzidi Dodo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Chuki iliyochanganyika na usenge kwa mbaaaaliWatu wana chuki tu bn dodo ni wimbo mkali
Hamna wimbo pale yaleyale ya kina lavalava lebo tu imembeba wasingesema kama n wa WCB ndo mngeona kichefuchefu chake BTW tumewazoea mashabiki wa WCB.Dodo imebebwa na jina ila ya kawaida. Zuchu kaua sana hii ngoma..huchoki kuisikiliza
Bt siyo kwa kuufananisha huo uchafu na dodohapo mhaya umenena.... unapoamua kuingia vitani ule mguu wa kuku haujalishi we ni kuruta au jenerali, wote mnakufa kifo kimoja...
vita ni vita muraa
Mobetto angejibeba kwenye wimbo wake na Bella kwanza ndo aje ambebe Ali Kiba ....sauti ipo sawa?Kelele zote zinazopigwa Alikiba hataki kusikia. Kwa ujumla ule hamna alichokiimba sema views zo Mobetto ndio zitakazo mbeba. Ukweli mchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app