Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Habarini Wananchi Wote,
Kufuatia Idara ya uhamiaji kuagiza Timu zote ambazo zimeajiri kocha na Wachezaji wa Kigeni kuwasilisha Majina, Vibali vya kuishi na Vibali vya Kazi kwenye ofisi za Uhamiaji, Munaonaje sisi Timu ya Wananchi tukakataa kupeleka Vibali vya Morrison?
Ikumbukwe kuwa hapo mwanzo walituagiza tupeleke kibali cha kazi cha Morrison ambaye ni mchezaji wetu halali ili wawape Simba lakini sisi Timu ya Wananchi tukakataa!
Sasa wameamua kutumia njia nyengine ili Wananchi tuhujumiwe.
Bora uongozi utamke wazi kuwa hautopeleka jina wala vibali vya Morrison kwenye Ofisi yoyote ile ya Uhamiaji.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#TimuYaWananchi
#Wakimataifa
Kufuatia Idara ya uhamiaji kuagiza Timu zote ambazo zimeajiri kocha na Wachezaji wa Kigeni kuwasilisha Majina, Vibali vya kuishi na Vibali vya Kazi kwenye ofisi za Uhamiaji, Munaonaje sisi Timu ya Wananchi tukakataa kupeleka Vibali vya Morrison?
Ikumbukwe kuwa hapo mwanzo walituagiza tupeleke kibali cha kazi cha Morrison ambaye ni mchezaji wetu halali ili wawape Simba lakini sisi Timu ya Wananchi tukakataa!
Sasa wameamua kutumia njia nyengine ili Wananchi tuhujumiwe.
Bora uongozi utamke wazi kuwa hautopeleka jina wala vibali vya Morrison kwenye Ofisi yoyote ile ya Uhamiaji.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#TimuYaWananchi
#Wakimataifa