GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,417
- 108,519
Nina Marafiki zangu Madereva wa Malori wanasema hiyo njia ya Kwenda nchini Zambia ambayo Sisi wana Yanga SC hasa Mashabiki tutapita kwenda Kuishangilia Timu yetu ina Maharamia wengi halafu huwa wakiwatekeni ' Wanabaka ' pia hivyo tusiende kabisa na tusithubutu.
Kwa Usalama wetu kama kweli Uongozi wetu unataka sote twende huko Kuishangilia Timu yetu basi uingie gharama na utukodie Ndege hata Tano hizi hizi za Bombardier na Dreamliner zitupeleke kwa Uwingi na kwa gharama zao kwani Yanga SC yetu ya sasa haina Shida ya Pesa ila mwana Yanga SC yoyote usithubutu Kusafiri kwa Mabasi kwani mtatekwa na Kubakwa.
Na kama Viongozi wetu wa Yanga SC wakiona hawana Pesa za Kutosha za Kutusafirisha wasione aibu kumuomba Tajiri wa Simba SC ( Timu ambayo siipendi kabisa ) Mohammed Mo Dewji tena kwa Kumpigia Magoti kabisa na ikibidi Viongozi wetu akina Msolla na Mwakalebela ' wamlambe ' Miguu yake hadi Unyayo ili wamwombe Msaada wa Hela au atukodie Ndege ili nasi twende huko Zambia wiki ijayo Kuishangilia Yanga SC yetu.
Naomba mwana Yanga SC yoyote akipata hii Mada ( huu Uzi ) ajitahidi Kuwasambazia na wana Yanga SC Wenzetu wengine ili waache kabisa kulipia Tiketi zao za Usafiri kwenda huko na kama wapo ambao watakuwa ' Wabishi ' na watataka Kusafiri basi wajue kuwa ikitokea ' Wakatekwa ' huko njiani basi Mafuta ' Laini ' yatahusika Kwao kitu ambacho Kitakuwa ni ' Uzalilshaji ' Kwetu na tutachekwa mno na Watani zetu wana Simba SC.
Tubakini tu Majumbani mwetu na tutaitizama hiyo Mechi yetu ya Marudiano kupitia Runinga ( Television ) na inatosha tu.
Kwa Usalama wetu kama kweli Uongozi wetu unataka sote twende huko Kuishangilia Timu yetu basi uingie gharama na utukodie Ndege hata Tano hizi hizi za Bombardier na Dreamliner zitupeleke kwa Uwingi na kwa gharama zao kwani Yanga SC yetu ya sasa haina Shida ya Pesa ila mwana Yanga SC yoyote usithubutu Kusafiri kwa Mabasi kwani mtatekwa na Kubakwa.
Na kama Viongozi wetu wa Yanga SC wakiona hawana Pesa za Kutosha za Kutusafirisha wasione aibu kumuomba Tajiri wa Simba SC ( Timu ambayo siipendi kabisa ) Mohammed Mo Dewji tena kwa Kumpigia Magoti kabisa na ikibidi Viongozi wetu akina Msolla na Mwakalebela ' wamlambe ' Miguu yake hadi Unyayo ili wamwombe Msaada wa Hela au atukodie Ndege ili nasi twende huko Zambia wiki ijayo Kuishangilia Yanga SC yetu.
Naomba mwana Yanga SC yoyote akipata hii Mada ( huu Uzi ) ajitahidi Kuwasambazia na wana Yanga SC Wenzetu wengine ili waache kabisa kulipia Tiketi zao za Usafiri kwenda huko na kama wapo ambao watakuwa ' Wabishi ' na watataka Kusafiri basi wajue kuwa ikitokea ' Wakatekwa ' huko njiani basi Mafuta ' Laini ' yatahusika Kwao kitu ambacho Kitakuwa ni ' Uzalilshaji ' Kwetu na tutachekwa mno na Watani zetu wana Simba SC.
Tubakini tu Majumbani mwetu na tutaitizama hiyo Mechi yetu ya Marudiano kupitia Runinga ( Television ) na inatosha tu.