Wana Yanga SC Wenzangu hivi ni mpaka lini Simba SC itaendelea 'Kutunyayasa' namna hii katika Usajili? Tuwafukuzeni upesi GSM na Msola watuachie Timu

The problem tule tubilioni 20 twa Dewji ndo mnadhani Simba ni matajiri kweli kweli! Guys, "utajiri" wa Simba ni wa Kibongobongo tu, na kwahiyo bado hajawa na ubavu wa kutoa 500M kununua mchezaji! Kwa Afrika, 500M inalipwa kwa Top Players lakini Simba hadi kesho hana ubavu wa kununua top players in Afrika, na ndio maana hadi kesho mnaishia kuzunguka huku huku SADC, na mkienda north or west, mtaishia kuchukua wachezaji ambao hawana ubavu wa kucheza timu kubwa sio tu za north or west bali hata zile za South Africa!!! Yote kwa yote bado nasisitiza; acheni kukurupuka kwa sababu interest ya Yanga ipo kwa Walter Bwalya na sio Larry Bwalya! Hawa ni wachezaji wawili tofauti.
Umeongea kwa uchungu sana mkuu. Pole! Inauma sana simba kufanya vizuri na kutokua na migogoro na kila mchezaji kutamani kuchezea simba sc huku kwenu mkidangamywadanganywa na engineer. Pole mtani ila ndio maisha. Nashauri watoto wako waweke mbali na yanga kwa ustawi wao.
 
Najua unaumia sana...ila ndio hivyo tena hamna naman!
Endeleeni kukalia msumali, sie tunazidi kuuchonga na kuupasha moto ili muinjoi kuukalia zaidi.
Nimekueleza weka hapa mmemnunua kwa bei gani huyo Miquisson; mbona hujafanya hivyo?! Au kwavile unajua na mwenyewe kanunuliwa kwa vidola elf kadhaa tu?!
 
So utopolo ndo mnauwezo wa kununua mchezaji kwa 500m???subirin msajiliwe wachezaji wa mafungu mafungu mpaka akili iwake sawa, simba # another level Africa masharika na kati hatuna mpinza we endelea kubweka simba ndo inachanja mbuga
kwani kuna mahali nimesema tunanunua mchezaji kwa 500M? Btw, hiyo Afrika Mashariki na Kati unayoisema wewe ni ipi?! Kwa kumbukumbu zangu, umewahi kutandikwa 4 na Mazembe, umewahi kutandikwa 5 na Vita! Sasa another level Afrika Mashariki na Kati ipi?! Na ni mwaka jana tu hapa mlitolewa na majirani zetu wa Kimakonde, na timu iliyowatoa haina historia yoyote kwenye soka la Afrika!!! Tena muwashukuru UD Songo manake waliwaepusha na ile aibu ya kwenda kula gwala gwala kama mmesimama :D!!!
 
kwani kuna mahali nimesema tunanunua mchezaji kwa 500M? Btw, hiyo Afrika Mashariki na Kati unayoisema wewe ni ipi?! Kwa kumbukumbu zangu, umewahi kutandikwa 4 na Mazembe, umewahi kutandikwa 5 na Vita! Sasa another level Afrika Mashariki na Kati ipi?! Na ni mwaka jana tu hapa mlitolewa na majirani zetu wa Kimakonde, na timu iliyowatoa haina historia yoyote kwenye soka la Afrika!!! Tena muwashukuru UD Songo manake waliwaepusha na ile aibu ya kwenda kula gwala gwala kama mmesimama :D!!!
As vita nilijipigia vzr naakabuluza mkia kwanye kundi,,TP nimetoa na sare so ukiwa unaonge inatakiwa utoe akili mgando ya kiutopolo ,,,itetetee Utopolo yako sio una itetea As vita ,sawa bwana ngedele
 
Mimi ni Yanga mwenzio ACHA UONGO.ACHA UONGO WA KIJINGA. YANGA TULIMTAKA LARRY BWALYA. NA TULISHAFIKIA HATUA YA MWISHO KABISA.HAWA WAHUNI WAMEKUJA KUTUPORA. UONGO UTATUSAIDIA NINI?





The problem tule tubilioni 20 twa Dewji ndo mnadhani Simba ni matajiri kweli kweli! Guys, "utajiri" wa Simba ni wa Kibongobongo tu, na kwahiyo bado hajawa na ubavu wa kutoa 500M kununua mchezaji! Kwa Afrika, 500M inalipwa kwa Top Players lakini Simba hadi kesho hana ubavu wa kununua top players in Afrika, na ndio maana hadi kesho mnaishia kuzunguka huku huku SADC, na mkienda north or west, mtaishia kuchukua wachezaji ambao hawana ubavu wa kucheza timu kubwa sio tu za north or west bali hata zile za South Africa!!! Yote kwa yote bado nasisitiza; acheni kukurupuka kwa sababu interest ya Yanga ipo kwa Walter Bwalya na sio Larry Bwalya! Hawa ni wachezaji wawili tofauti.
 
Kuna juhudi kubwa kuivuruga yanga
Sababu kubwa ni mwelekeo wa mabadiliko yanayo kuja yanga yakisimamiwa na la liga
Uwekezaji wa Simba umefeli mwaka wa tatu sasa
 
Kuna juhudi kubwa kuivuruga yanga
Sababu kubwa ni mwelekeo wa mabadiliko yanayo kuja yanga yakisimamiwa na la liga
Uwekezaji wa Simba umefeli mwaka wa tatu sasa
Uwekezaji Umefali kitugan?? Wengedele toka muingia mkataba na laliga timu za laliga zinafanya vibaya sana huon mmepeleka gundu hadi la liga
 
Hakiyanani hii mijadala ingekua live ngumi zingerushwa! Yaani kuna wadau wanatoa povu hatari! Mwisho wa siku hii ni burudani tu.
 
Nikiwa kama Mshabiki Mwandamizi kabisa wa Yanga SC 'nimekerwa' sana na aina ya 'Unyanyasaji' wa 'Kimafia' kabisa tunaofanyiwa na Timu bora si tu Tanzania bali Afrika ya Mashariki na Kati, Duniani hadi hadi Mbinguni ya Simba Sports Club halafu Sisi Wanayanga tunabaki 'Kunyamaza' tu pekee.

Wiki ya Jana Yanga SC tulikuwa tunamleta Bonge la Beki ambaye ni zaidi ya Bakari Nondo Mwamnyeto aitwae Ibrahim Ami aje 'Kusinya / Kusaini' Kwetu Yanga SC cha 'Kushangaza' Klabu tusiyoipenda ila inayopendwa mno na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club ikamsajili na sasa ni Mali yao kabisa.

Mwanzoni mwa Wiki hii wana Yanga SC tulikuwa tunajua kabisa kuwa Kiungo 'Mahiri' kutoka Ghana ambaye pia ni Wakili Msomi na wa Kujitegemea Bernard Morrison ni Mali ya Yanga SC kumbe ameshakuwa ni Mali ya Simba Sports Club kitu ambacho ni 'Hatari' sana Kwetu kwani mpaka hivi sasa ndani ya Yanga SC sijaona Beki ya 'Kumkaba' huyu Morrison ukiachia akina Chama na Miquissone.

Kubwa kuliko na hii ndiyo 'imeniuma' sana hadi sasa nataka wanayanga Wenzangu wowote popote pale mlipo 'tujitokeze' na 'tuwatimue' hawa 'Wanafiki' akina GSM pamoja na Mwenyekiti Wetu Mshindo Msola kwani wameshaonyesha kuwa ni 'Waongo' na 'Matapeli' tu pia hasa linapokuja Suala zima la Usajii.

Ni muda mfupi tu umepita Yanga SC tulikuwa tunategemea 'Kumpokea' Kiungo Mshambuliaji 'Hatari' kabisa ambaye uwezo wake Uwanjani ni 'maradufu' ya Clatous Chama aitwae Larry Bwalya. Cha 'Kushangaza' GSM na Mwenyekiti Msola pamoja na Magazeti ya Michezo 'yalituaminisha' Wiki nzima kuwa ni Mali ya Yanga SC na hatimaye 'ameshasinya / ameshasaini' Simba Sports Club.

Kwa hasira nilizonazo GENTAMYCINE nawapa GSM na Mwenyekiti Msola Saa 72 tu zijazo watuachie Yanga SC yetu na itakuwa chini yetu Mashabiki.
Kadi yako ya uanachama wa mikia ni namba ngapi vile??
 
kwanza amabye ana access na group lolote la yanga aniweke kwenye group wadau namba 0692942605
 
Nyinyi Yanga mtaendelea kunyanyasika mpaka mtakapogundua Fredrick Mwakalebela ni mtu wetu. Pia Senzo bado yuko kwenye Payrol ya MO kimtindo.

Siri zenu zote tunazo, yaan hata kabla hamjamaliza vikao vyenu vya Siri huku tushapata mkanda mzima kilichojadiliwa.
Sasa huu ni ujanja ana nini?
 
Ngoja nikudharau manake ni mpuuzi tu ndie anaweza kutumia kauli za kibaguzi zinazotumika na wabaguzi! Na kwa kukosa kujitambua kwako ndo maana wala hufahamu kwamba kwa Mzungu Mbaguzi; wewe na familia yako yote ni manyani tu! Shame on You!

Hii Nyani imekuja hapa kuwawakilisha Manyani FC
 
Kuna juhudi kubwa kuivuruga yanga
Sababu kubwa ni mwelekeo wa mabadiliko yanayo kuja yanga yakisimamiwa na la liga
Uwekezaji wa Simba umefeli mwaka wa tatu sasa

Uwekezaji wa Simba umefeli? 😂😂😂😂

Haki ya nani akili za Manyani FC hazisaidii hata kupambanua usiku na mchana.
 
Back
Top Bottom