Wanayanga mkajibu swali la CAF

pwilo

JF-Expert Member
May 27, 2015
10,098
12,469
Habari za majukumu mashabiki na wapenzi wa soka nchini Tanzania na Africa mashariki kwa jumla naamini niwazima na wale wenye changamoto mungu awasaidie na kuwafanyia wepesi.

Twende kwenye mada sasa leo ni siku ya furaha kwa wananchi baada ya CAF kuwapost katika page yao ya Instagram baada ya kupita kwa mda mrefu wenyewe wanajiita mabingwa wa kihistoria ila kwa kinachoendelea na kilichotokea katika safari ya soka ni sawa kabisa wajiite jina hilo.

Lakini sasa kwa upande mwingine ni tofauti kabisa hawana lolote la kujivunia katika mashindano ya kimataifa na team yoyote duniani inapimwa ubora na ukubwa kutokana na mafanikio ya kimataifa ambayo kwetu tunaita Caf champions league kwa wazungu ni UEFA champions league.

Hata kule ulaya licha ya ubabe na records mbali katika league zao lakini bado PSG na MANCHESTER CITY ni underdog kwenye mashindano ya UEFA champions league japokuwa katika league zao wana heshimika ila wao wamekubali kuwa ni underdog katika mashindano hayo ila sasa huku kwetu ni ajabu sana yanga kujifananisha na simba kwasababu tu wakikutana basi mara nyingine yanga huifunga simba kwa hyo wanajiona wako sawa wakati kiukweli wameachwa mbali na wana lunyasi najua hawawezi kukubali.

Kumbe mara ya mwisho kwa yanga kuingia makundi ni mwaka 1998 ila wanavyotukana huko kwenye page ya CAF champions league ndo nimeamini yanga wenye akili ni wawili tu sasa CAF wana shida gani mpaka muwatukane wakati nyie wenyewe mnajiita mabingwa wa kihistoria.

Haya mkajibu swali la CAF mtaweza kutoka mlipo na kusogea kidogo angalau muwafikie namungo maana kule mna 0.5 mwaka wenu huu kuthibitisha mnaweza maana team yenu imekamilka kila idara hakuna wa kumsingizia wala kumtupia lawama.

NB : kuwa nafasi ya 12 kwa simba sc barani Africa na kuiwezesha Tanzania kupeleka team 4 badala ya mbili pia ni mafanikio sio lazima kubeba ndoo kwani mafanikio yanaanza na msingi na yanatokea kidogo kidogo na kwa awamu.
IMG-20220913-WA0006.jpg
 
Umezitolea mfano Man City na PSG za ulaya kwa sababu hazijabeba kombe la champions league. Sasa ndugu mleta mada nipe tofauti yako na hao mashabiki wanaotukana kwa sababu hiyo Simba yenyewe haijabeba hilo kombe kwa nini uje hapa ujimwambafai kama vile na wewe ushabeba hilo kombe la CAF?
 
Umezitolea mfano Man City na PSG za ulaya kwa sababu hazijabeba kombe la champions league. Sasa ndugu mleta mada nipe tofauti yako na hao mashabiki wanaotukana kwa sababu hiyo Simba yenyewe haijabeba hilo kombe kwa nini uje hapa ujimwambafai kama vile na wewe ushabeba hilo kombe la CAF?
Hujasoma thread yote ww umesoma title tu
 
Kule CAF hakuna ukubwa wa nafasi, zile nafasi ni namba tu. Timu kubwa nizile zilizo twaa makombe. Hakuna ukubwa wa point kule.

Ni mbumbumbu asiyejiyambua tu Anaye fikiria ukubwa wa CAf ni point za timu.

Pamba neni mtwae ubingwa nanyi mtaitwa vigogo sio kuji tutumua wakati hamtambuliki.

Mfano Kwa apa Tanzania Yanga ndio wakubwa Kwa kutwaa ubingwa maranyingi.
 
Umezitolea mfano Man City na PSG za ulaya kwa sababu hazijabeba kombe la champions league. Sasa ndugu mleta mada nipe tofauti yako na hao mashabiki wanaotukana kwa sababu hiyo Simba yenyewe haijabeba hilo kombe kwa nini uje hapa ujimwambafai kama vile na wewe ushabeba hilo kombe la CAF?
Kupitia uzi wake unapata picha halisi ya neno umbumbumbu.
 
Kule CAF hakuna ukubwa wa nafasi, zile nafasi ni namba tu. Timu kubwa nizile zilizo twaa makombe. Hakuna ukubwa wa point kule.
Ni mbumbumbu asiyejiyambua tu Anaye fikiria ukubwa wa CAf ni point za timu.
Pamba neni mtwae ubingwa nanyi mtaitwa vigogo sio kuji tutumua wakati hamtambuliki.
Mfano Kwa apa Tanzania Yanga ndio wakubwa Kwa kutwaa ubingwa maranyingi.
Nafasi ni namba tu?

Kwanini hizo namba nyie hamna?
 
Kule CAF hakuna ukubwa wa nafasi, zile nafasi ni namba tu. Timu kubwa nizile zilizo twaa makombe. Hakuna ukubwa wa point kule.
Ni mbumbumbu asiyejiyambua tu Anaye fikiria ukubwa wa CAf ni point za timu.
Pamba neni mtwae ubingwa nanyi mtaitwa vigogo sio kuji tutumua wakati hamtambuliki.
Mfano Kwa apa Tanzania Yanga ndio wakubwa Kwa kutwaa ubingwa maranyingi.
Si kama super league watashiriki vigogo tu kama ww sio kigogo super league utaiyangalia kwenye king'amuzi cha AZAM tu na dstv we mpaka hapo hujaona tofauti bado au unajizima data.
 
Kuna watu mnajua kuchamba.

Nenda Uganda pale Kampala uulize Yanga Africa mnaijua?

SC Villa nao sana majibu.

Natamani marehemu Pepe Kale afufuke akwambie ukubwa wa Yanga Africa
Ukubwa wa yanga ni kumfunga simba ila kimataifa wana point 0.5 na nimetafuta position yao caf sijaiona wao na zalan hawapo hata kwenye orodha ya Caf kwenye rank sijaziona mpo nafasi ya ngapi halafu kama ni ukubwa hata toto afrika na pamba fc ni team kubwa na zina historia ila ziko wapi sasa hivi?
Kila nabii na zama zake ninachojua mara ya mwisho kwa mafanikio ya yanga kimataifa ni 1998 full stop.
 
Ukubwa wa yanga ni kumfunga simba ila kimataifa wana point 0.5 na nimetafuta position yao caf sijaiona wao na zalan hawapo hata kwenye orodha ya Caf kwenye rank sijaziona mpo nafasi ya ngapi halafu kama ni ukubwa hata toto afrika na pamba fc ni team kubwa na zina historia ila ziko wapi sasa hivi?
Kila nabii na zama zake ninachojua mara ya mwisho kwa mafanikio ya yanga kimataifa ni 1998 full stop.
Apia!!
 
Nyie makolo mnapenda kuijadili YANGA, mnaona raha inavyo wakojolea mnawashwa msihofu October tunawakojolea tena...
 
Habari za majukumu mashabiki na wapenzi wa soka nchini Tanzania na Africa mashariki kwa jumla naamini niwazima na wale wenye changamoto mungu awasaidie na kuwafanyia wepesi.

Twende kwenye mada sasa leo ni siku ya furaha kwa wananchi baada ya CAF kuwapost katika page yao ya Instagram baada ya kupita kwa mda mrefu wenyewe wanajiita mabingwa wa kihistoria ila kwa kinachoendelea na kilichotokea katika safari ya soka ni sawa kabisa wajiite jina hilo,
Lakini sasa kwa upande mwingine ni tofauti kabisa hawana lolote la kujivunia katika mashindano ya kimataifa na team yoyote duniani inapimwa ubora na ukubwa kutokana na mafanikio ya kimataifa ambayo kwetu tunaita Caf champions league kwa wazungu ni UEFA champions league.

Hata kule ulaya licha ya ubabe na records mbali katika league zao lakini bado PSG na MANCHESTER CITY ni underdog kwenye mashindano ya UEFA champions league japokuwa katika league zao wana heshimika ila wao wamekubali kuwa ni underdog katika mashindano hayo ila sasa huku kwetu ni ajabu sana yanga kujifananisha na simba kwasababu tu wakikutana basi mara nyingine yanga huifunga simba kwa hyo wanajiona wako sawa wakati kiukweli wameachwa mbali na wana lunyasi najua hawawezi kukubali.

Kumbe mara ya mwisho kwa yanga kuingia makundi ni mwaka 1998 ila wanavyotukana huko kwenye page ya CAF champions league ndo nimeamini yanga wenye akili ni wawili tu sasa CAF wana shida gani mpaka muwatukane wakati nyie wenyewe mnajiita mabingwa wa kihistoria.

Haya mkajibu swali la CAF mtaweza kutoka mlipo na kusogea kidogo angalau muwafikie namungo maana kule mna 0.5 mwaka wenu huu kuthibitisha mnaweza maana team yenu imekamilka kila idara hakuna wa kumsingizia wala kumtupia lawama.

NB : kuwa nafasi ya 12 kwa simba sc barani Africa na kuiwezesha Tanzania kupeleka team 4 badala ya mbili pia ni mafanikio sio lazima kubeba ndoo kwani mafanikio yanaanza na msingi na yanatokea kidogo kidogo na kwa awamu.View attachment 2355844
Unajua huwa napata shida sana kuwaelewa makolo FC, mafanikio katika mpira ninavyojua mimi ni makombe??sasa makolo ulibwanji fc kila siku wanajisifia wana mafanikio kimataifa!mafanikio yapi????kombe gani washawahi kuchukua kimataifa???
 
Unajua huwa napata shida sana kuwaelewa makolo FC, mafanikio katika mpira ninavyojua mimi ni makombe??sasa makolo ulibwanji fc kila siku wanajisifia wana mafanikio kimataifa!mafanikio yapi????kombe gani washawahi kuchukua kimataifa???
Tulimbeba yanga kimataifa msimu uliopita
 
Back
Top Bottom