halafu unajua kuna watu wazima kabisa na akili zao wanaamini kuwa hao jamaa huwa wanadundana kweli.....SMH
Undertaker Jeee ... nasikia alizikwa akiwa hai naye uyu atafufuka au ndio..
Wanapigana kweli bwana, we see the show live, and if is not true, why injuries whic keeps some of them out for sometyms???????