Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
NIMROD MKONO ni Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini aliyechaguliwa mwaka 2015. Hajawahi kuonekana Bungeni tangu mwaka 2016 mwaka mmoja kabla ya Mhe. Tundu Lissu kupigwa risasi.
Lakini yeye analipwa mshahara wake wote na hatujawahi kusikia taarifa yake yoyote huko Bungeni ikiwekwa wazi.
Taarifa kutoka kwa vyanzo vya ndani ya Jimbo lake ni kuwa anaumwa tangu mwaka 2016 mpaka leo na hajawasilisha tamko la mali zake lakini hajawahi kuachishwa Ubunge.
Lissu aliyepigwa risasi 16 mwilini tena mchana hadharani anaachishwa Ubunge.
Wana wa musoma tunahitaji kumuona mkono nimrod mbuge wetu kwani tangu 2015 hatujawahi sikia sauti yake bungeni.
Lakini yeye analipwa mshahara wake wote na hatujawahi kusikia taarifa yake yoyote huko Bungeni ikiwekwa wazi.
Taarifa kutoka kwa vyanzo vya ndani ya Jimbo lake ni kuwa anaumwa tangu mwaka 2016 mpaka leo na hajawasilisha tamko la mali zake lakini hajawahi kuachishwa Ubunge.
Lissu aliyepigwa risasi 16 mwilini tena mchana hadharani anaachishwa Ubunge.
Wana wa musoma tunahitaji kumuona mkono nimrod mbuge wetu kwani tangu 2015 hatujawahi sikia sauti yake bungeni.