Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,298
- 45,593
Wakuu tuko na washikaji hapa viwanja vya Kijitonyama katika bonanza lililopewa jina la TOT Bonanza, wenyewe watumiaji wa Twitter wanafahamu maana yake,wengi hapa pia ni watumiaji wa Twitter ila kuna wengine wengi pia kama sisi huwa hatukosi mitonyo kama hii ya vitu vizuri kupitia kwa washikaji zetu.
Hii idea yao ya kukutana pamoja na kuboresha mahusiano yao kupitia michezo na fursa mbalimbali imekaa poa sana, na sisi huku JF tuandae bonanza letu angalau mara moja kwa mwaka, tukutane,tujuane na tupeane michongo ya kutoboa kimaisha.
Tupange kushiriki na majina yetu halisi na hakuna atakayekata anonymous ID zetu za humu JF.
Hii idea yao ya kukutana pamoja na kuboresha mahusiano yao kupitia michezo na fursa mbalimbali imekaa poa sana, na sisi huku JF tuandae bonanza letu angalau mara moja kwa mwaka, tukutane,tujuane na tupeane michongo ya kutoboa kimaisha.
Tupange kushiriki na majina yetu halisi na hakuna atakayekata anonymous ID zetu za humu JF.