Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Nipo katika mji wa Singida katika mitaa ya Mitunduruni,Posta,Mwenge,Namfua na stand wananchi wengi wanasema wao wamechoka na porojo za CCM wanasubiri UKAWA na wanaunga mkono UKAWA kwa kuwa wanatetea katiba inayotokana na mawazo waliyotoa mbele ya tume ya Warioba lakini CCM wanayadharau.
Pili wanasingida wanasema CCM tumewapa nchi badala ya kuleta maendeleo wao wanaleta ahadi mpya kupambana na UKAWA na kueneza propaganda maendeleo hatuyaoni.
Kubwa wanasema Singida wana utajiri wa madini ya urenium lakini hadi leo hayana msaada kwa wanasingida.
Kubwa kabisa mkoa wa Singida wananchi wake wamepigika sana na hakuna msaada kwa CCM zaidi ya porojo.
Hivyo wao kama wanasingida wamekwenda uwanjani kwa CCM kwa kuwa wamelipiwa nauli,pili wamepewa posho na tatu kuagana na CCM maana kuanzia Octoba serikali za mitaa hawana chao na mwakani ndio kwishaaa.
UKAWA ndio habari ya Singida kupitia CHADEMA jembe lao.
Pili wanasingida wanasema CCM tumewapa nchi badala ya kuleta maendeleo wao wanaleta ahadi mpya kupambana na UKAWA na kueneza propaganda maendeleo hatuyaoni.
Kubwa wanasema Singida wana utajiri wa madini ya urenium lakini hadi leo hayana msaada kwa wanasingida.
Kubwa kabisa mkoa wa Singida wananchi wake wamepigika sana na hakuna msaada kwa CCM zaidi ya porojo.
Hivyo wao kama wanasingida wamekwenda uwanjani kwa CCM kwa kuwa wamelipiwa nauli,pili wamepewa posho na tatu kuagana na CCM maana kuanzia Octoba serikali za mitaa hawana chao na mwakani ndio kwishaaa.
UKAWA ndio habari ya Singida kupitia CHADEMA jembe lao.