Wana-Singida tunasubiri UKAWA, tumechoka na porojo za CCM

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
886
206
Nipo katika mji wa Singida katika mitaa ya Mitunduruni,Posta,Mwenge,Namfua na stand wananchi wengi wanasema wao wamechoka na porojo za CCM wanasubiri UKAWA na wanaunga mkono UKAWA kwa kuwa wanatetea katiba inayotokana na mawazo waliyotoa mbele ya tume ya Warioba lakini CCM wanayadharau.

Pili wanasingida wanasema CCM tumewapa nchi badala ya kuleta maendeleo wao wanaleta ahadi mpya kupambana na UKAWA na kueneza propaganda maendeleo hatuyaoni.

Kubwa wanasema Singida wana utajiri wa madini ya urenium lakini hadi leo hayana msaada kwa wanasingida.

Kubwa kabisa mkoa wa Singida wananchi wake wamepigika sana na hakuna msaada kwa CCM zaidi ya porojo.

Hivyo wao kama wanasingida wamekwenda uwanjani kwa CCM kwa kuwa wamelipiwa nauli,pili wamepewa posho na tatu kuagana na CCM maana kuanzia Octoba serikali za mitaa hawana chao na mwakani ndio kwishaaa.

UKAWA ndio habari ya Singida kupitia CHADEMA jembe lao.
 
Nipo katika mji wa Singida katika mitaa ya Mitunduruni,Posta,Mwenge,Namfua na stand wananchi wengi wanasema wao wamechoka na porojo za CCM wanasubiri UKAWA na wanaunga mkono UKAWA kwa kuwa wanatetea katiba inayotokana na mawazo waliyotoa mbele ya tume ya Warioba lakini CCM wanayadharau.

Pili wanasingida wanasema CCM tumewapa nchi badala ya kuleta maendeleo wao wanaleta ahadi mpya kupambana na UKAWA na kueneza propaganda maendeleo hatuyaoni.

Kubwa wanasema Singida wana utajiri wa madini ya urenium lakini hadi leo hayana msaada kwa wanasingida.

Kubwa kabisa mkoa wa Singida wananchi wake wamepigika sana na hakuna msaada kwa CCM zaidi ya porojo.

Hivyo wao kama wanasingida wamekwenda uwanjani kwa CCM kwa kuwa wamelipiwa nauli,pili wamepewa posho na tatu kuagana na CCM maana kuanzia Octoba serikali za mitaa hawana chao na mwakani ndio kwishaaa.

UKAWA ndio habari ya Singida kupitia CHADEMA jembe lao.

Hivi Tundu Lissu kafanya nini kuleta maendeleo kwenye Jimbo la Singida Mashariki? Tunasikia tu anazuia wananchi kuchangia maendeleo huku hata yeye hachangii!
 
Nilimsikia Nape akituambia waliokuwa wanatoka mkutanoni kuwa walikuwa wanakwenda kunywa maji na wangerejea!!!!!!!!!!!!
 
Hivi Tundu Lissu kafanya nini kuleta maendeleo kwenye Jimbo la Singida Mashariki? Tunasikia tu anazuia wananchi kuchangia maendeleo huku hata yeye hachangii!

Kwani wabunhe wa ccm wamefanya nini kwenye majimbo yao? Shida za singida ndio shida za wanachi nchi nzima acheni unafiki.taja ni tatizo gani lipo singida na mikoa mingine halipo? Zaid zaidi singina wametuzidi michango ya kipuuzi yenye lengo la kulisha mafisadi nooo!
 
Mtu anaeshabikia CCM, kama hajalipwa posho ili atetee CCM, bac babake ni fisadi au ye yeye mwenyewe ni mwizi, kwa mtu anaeelewa historia ya nchi hii, na rasilimali zilizopo, alafu akaangalia mambo yanayofanywa na hawa watu, alafu ukaangalia umaskini walionao watanzania, alafu ukiritimba na rushwa kwenye taasisi za umma, HUWEZI KUTHUBUTU KUIUNGA CCM MKONO, tuamke watanzania, CCM wanatumaliza, tuache kuridhika na ujinga wa CCM, nchi hii haijalaaniwa mpaka tuwe maskini kihivyo
 
CCM wanakodi vijana wa bodaboda, magari kusomba watu toka vijijini - then wanajidanganya wenyewe kwa wenyewe mkutanoni - UKAWA ni mpango wa Mungu!!

Hili suala la katiba halitaiacha CCM salama -- amini amini nawaambieni.
 
Back
Top Bottom