Wana Simba SC tutaje wachezaji tunaoona hawatufai msimu ujao

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba club ya Simba SC inajiandaa kutumia kiasi cha zaidi ya billions TANO kwa ajili ya kutikisa katika usajili wa Africa msimu ujao

Je ni wachezaji gani tuwape mkono wa kwa heri msimu ujao na kwanini

Mimi naanza

Zana
Salamba
Mo, Ibrahim
Juko
Bukaba
Dida
Mzamiru
Mbonde

Hawa hawastahili kuchezea Simba ya maendeleo msimu ujao

Ongezea na wewe unaoona hawafai

Lakini pia kuna wanaotakiwa kukaa bench maana viwango vyao kwa sasa haviridhishi kwa sasa na msimu ujao bench litawahusu

Zimbwe Jr
Wawa
Kotei
Mlipili
Erasto


Wakimataifa wanaotakiwa kubaki

Kagere
Okwi
Chama
Niyonzima

Wengine watuachie team yetu

Huu ni mtazamo wangu

hajismanara___BrU3_RHge5I___.jpg
simbasctanzania_1___Bp__koSnR2k___.jpg
 
Wazawa wanaotakiwa kubaki.
Manula
Nyoni
Mlipili
Kapombe
Mkude
Mzamiru
Zimbwe jr
Bocco
R.Juma
Ndemla
Mo Ibrahim
Wageni wanaotakiwa kubaki.
Chama
Kagere
Okwi
Haruna
Kotei.
HAWA WASEPE TU TUNAWASHUKURU SANA:-
DIDA
KWASI
GYAN
BUKABA
SALAMBA
WAWA
J.MURSHID
ZANA
MBONDE.
 
Mi naombwa mwenye magroup ya simba aniunge au anitumie link nijumuike na wanamsimbazi wenzangu jmn. 0737643707.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom