eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba club ya Simba SC inajiandaa kutumia kiasi cha zaidi ya billions TANO kwa ajili ya kutikisa katika usajili wa Africa msimu ujao
Je ni wachezaji gani tuwape mkono wa kwa heri msimu ujao na kwanini
Mimi naanza
Zana
Salamba
Mo, Ibrahim
Juko
Bukaba
Dida
Mzamiru
Mbonde
Hawa hawastahili kuchezea Simba ya maendeleo msimu ujao
Ongezea na wewe unaoona hawafai
Lakini pia kuna wanaotakiwa kukaa bench maana viwango vyao kwa sasa haviridhishi kwa sasa na msimu ujao bench litawahusu
Zimbwe Jr
Wawa
Kotei
Mlipili
Erasto
Wakimataifa wanaotakiwa kubaki
Kagere
Okwi
Chama
Niyonzima
Wengine watuachie team yetu
Huu ni mtazamo wangu
Je ni wachezaji gani tuwape mkono wa kwa heri msimu ujao na kwanini
Mimi naanza
Zana
Salamba
Mo, Ibrahim
Juko
Bukaba
Dida
Mzamiru
Mbonde
Hawa hawastahili kuchezea Simba ya maendeleo msimu ujao
Ongezea na wewe unaoona hawafai
Lakini pia kuna wanaotakiwa kukaa bench maana viwango vyao kwa sasa haviridhishi kwa sasa na msimu ujao bench litawahusu
Zimbwe Jr
Wawa
Kotei
Mlipili
Erasto
Wakimataifa wanaotakiwa kubaki
Kagere
Okwi
Chama
Niyonzima
Wengine watuachie team yetu
Huu ni mtazamo wangu