Wana Simba SC tutaje wachezaji tunaoona hawatufai msimu ujao

avatar yako inaonyesha tu upo mlongo gani na umeandika haya kwa chuki zako kwa timu flani ,kwa taarifa yako zimbwe ametitwa timu ya taifa na hicho kiwango cha gadiel michael unachokiongelea cjui ni kipi ,punguza mapenzi binafsi
tofauti yangu mimi ni mwanachama hai wa simba toka 1995 hadi sasa na wewe ni mshabiki tu,na nilianza ushabiki wa kiwango chako zamani, itabidi tuonyeshe kadi za uanachama ili tujadili club ndio tutaeshimiana
 
Mbona Mengi alikuwa ni mzee na bado alikuwa anakula mishkaki...
Msimu jana Okwi alifunga goli 20.. msimu huu 14.. anaongoza kwa hattrick na ligi haijaisha.
Kagere ana goli 20.. Au umetumwa?.. Ngasa ana goli ngapi?.. Vipi Tambwe?

wenzetu yanga timu yao ya vijana, sisi wazee tupu
 
wenzetu yanga timu yao ya vijana, sisi wazee tupu
Angalia kazi wanayofanya.. wewe umri unautaka wa nini?
Kagere goli 20
Bocco goli 14
Okwi goli 14
Tambwe goli ngapi...?
Ngassa goli ngapi...?
Yondani na Boban ni vijana?.. Kiwango cha Dante utalinganisha na Nyoni kweli..?.. we unatania.
 
tofauti yangu mimi ni mwanachama hai wa simba toka 1995 hadi sasa na wewe ni mshabiki tu,na nilianza ushabiki wa kiwango chako zamani, itabidi tuonyeshe kadi za uanachama ili tujadili club ndio tutaeshimiana
avatar yako inakataa uyasemayo,refer kauli ya polepole kwenye uchaguzi wa yanga
 
Hujui maana ya uwekezaji ndio maana unasema itaisha

B 20 inatakiwa izalishe club itakuwa inatumia faida yake

Wanachama wakianza kununua his a zao na zikikamilika ile B 25 nayo inatakiwa izalishe itakachotumia club ni faida yake

Mfano B 20 kwa mwaka itazalisha faida ya B 3.5

B 25 itakuja kuzalisha faida kwa mwaka B 5.5

So club itakuwa na uhakika wa faida inayotokana na hisa kila mwaka ya Billions 9
Sijasema kwamba itaisha..nimetanguliza inaweza kuisha ..pia hizo hesabu ni dhahania kwa soka la Tanzania..Pengine ..narudia pengine labda asiwe na haraka ya faida..afunge macho amwage pesa ..tena sio tu kumwaga pesa..kumwaga pesa kwa malengo ya faida..

namaanisha uwekezaji..ningekuwa mimi ni yeye..hiyo Bilioni 20 naunua uwanja mkubwa katikati ya mji..haikosi bilioni 1 hata 2..uwanja mkubwa...Bilioni 10 najenga uwanja wa kutosha watu 30000 hadi 40000 pamoja na maduka makubwa ya kuzunguka uwanja...Bilioni 2 nawekeza kwenye vifaa ..hapo unatengeneza uwanja wa bunju kule na gym ya kisasa..bilioni 6..nawekeza kwenye makocha na wakufunzi wa kisasa..hao kina Muleka..makusu..tuyisenge tunao wengi tu hapa Tanzania..ni suala la kuwatafuta na kuwatrain vizuri tu..

Uwanja naukodisha kwa Simba SC Limited kwa miaka 200 na zaidi huko...kila gate collection ningetaka robo tu ya mapato ..

Hapo kwanza angeisaidi timu,,kuwa na kitega uchumi chake..suala la kungoja aombwe pesa hakuna..kiingilio kingekuwa cha chini sana ili watu wajae pesa ipatikane..faida ingetumika kwenye mengine ya kimsingi...

Tofauti na yeye Hiyo pesa itakuwa inatoka tuu bila return ya aina yeyote kubwa..ok anasema ataweka kwenye treasurer bond za Serikali,,hii hadi ije iive atakuwa anatoa pesa tu mfukoni...

Then yeye anatarget mafanikio ya muda mfupi badala ya muda mrefu..

mimi ningewekeza kwanza..maana uwekezaji huo ambao nimesema hapo juu..hata ikatokea anauza hisa zake..hakosi bilioi 25- 30..ndani ya miaka mitano ijayo..
 
Rashidi juma? Huyu tunayemjua hajui kutuliza mpira, first touch yake hovyo, hawezi ku shoot golini, hawezi kutoa pass,utoto mwingi anachojua ni kukimbia tu
Huyu akifunfishwa ataelewa, bado mpira wa mchangani unamsumbua
 
Sijasema kwamba itaisha..nimetanguliza inaweza kuisha ..pia hizo hesabu ni dhahania kwa soka la Tanzania..Pengine ..narudia pengine labda asiwe na haraka ya faida..afunge macho amwage pesa ..tena sio tu kumwaga pesa..kumwaga pesa kwa malengo ya faida..

namaanisha uwekezaji..ningekuwa mimi ni yeye..hiyo Bilioni 20 naunua uwanja mkubwa katikati ya mji..haikosi bilioni 1 hata 2..uwanja mkubwa...Bilioni 10 najenga uwanja wa kutosha watu 30000 hadi 40000 pamoja na maduka makubwa ya kuzunguka uwanja...Bilioni 2 nawekeza kwenye vifaa ..hapo unatengeneza uwanja wa bunju kule na gym ya kisasa..bilioni 6..nawekeza kwenye makocha na wakufunzi wa kisasa..hao kina Muleka..makusu..tuyisenge tunao wengi tu hapa Tanzania..ni suala la kuwatafuta na kuwatrain vizuri tu..

Uwanja naukodisha kwa Simba SC Limited kwa miaka 200 na zaidi huko...kila gate collection ningetaka robo tu ya mapato ..

Hapo kwanza angeisaidi timu,,kuwa na kitega uchumi chake..suala la kungoja aombwe pesa hakuna..kiingilio kingekuwa cha chini sana ili watu wajae pesa ipatikane..faida ingetumika kwenye mengine ya kimsingi...

Tofauti na yeye Hiyo pesa itakuwa inatoka tuu bila return ya aina yeyote kubwa..ok anasema ataweka kwenye treasurer bond za Serikali,,hii hadi ije iive atakuwa anatoa pesa tu mfukoni...

Then yeye anatarget mafanikio ya muda mfupi badala ya muda mrefu..

mimi ningewekeza kwanza..maana uwekezaji huo ambao nimesema hapo juu..hata ikatokea anauza hisa zake..hakosi bilioi 25- 30..ndani ya miaka mitano ijayo..
Huo sio uwekezaji sasa, hivyo ni vitu vinavyotokana faida za uwekezaji,

Ukisema utumie yote kufanya hivyo vitu hata haiwezi kutosha hata uwanja wa watu elfu 30 tu hupati
 
Back
Top Bottom