Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Haahaha Maji nusu lita na karanģa kibakuli aisee Mo kashtuka pesa yake inaliwa na wachumia tumbo
Mashabiki wa soka nchini hawajawahi kuwa na msaada hata siku moja zaidi ya unafiki na ushirikina..yesi..msaada wao ni huo pamoja na kuzomea wachezaji uwanjani...au kuwatukana...
hatujawahi kwa namna yeyote ile kuzisaidia klabu zetu kuondokana na hali ilizokuwa nazo...na ndio maana kuna siku nikasema hata huyu Mo Dewji naye ni wale wale..tu..tutaishia kushinda shinda mechi hivi hivi kwa hila hila lakini hatawekeza kwenye msingi wa soka..
yeye kama ulivyo wewe na mimi tunapenda timu ishinde tuu..basi,,timu ikishinda tunarukaruka tuanenda kulala..siku zinapoita..hakuna cha uwanja wa bunju wa sijui ngekewa gani...
Yule atafanya kulingana na mashabiki wanzavyotaka au kuhisi ..atasajili wachezaji wa Yanga..Azam..na timu zingine hapa Afrika Mashariki tena kwa free transfer ... sio kununua...
akishakizi kiui yetu hiyo na yeye kama ilivyo sisi atakaa asubiri miujiza ya uwanjani.
We unajua hadi ujinyee ndio ujue umekula... nje ya mada chura huyu.Haahaha Maji nusu lita na karanģa kibakuli aisee Mo kashtuka pesa yake inaliwa na wachumia tumboView attachment 1096439
Hujui maana ya uwekezaji ndio maana unasema itaishaHata kama ya MO ndugu,,kwa namna ya mpira wa TZ ulivyo hiyo B.20 inaweza kuisha bila faida yeyote ile..
Atakuja mzuri zaidi yakeTutafanya kosa kubwa kumuacha nikolas gyan
Peleka uchura chura hukoHaahaha Maji nusu lita na karanģa kibakuli aisee Mo kashtuka pesa yake inaliwa na wachumia tumboView attachment 1096439
Hapa watu wapo kazini wanajadili walichofanya kwa kila mmoja na jukumu alilopewaHaahaha Maji nusu lita na karanģa kibakuli aisee Mo kashtuka pesa yake inaliwa na wachumia tumboView attachment 1096439
Hapo tuko pamoja....kwas vs zimbwe jrHalafu ukamuacha ukamuacha kwasi ,nikajua uchambuzi ziro hapo
Kotei kitasa kile...achana na hiyo kaziProfessionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
Amecheza nini huyo himidi Mao mshambuliaji?Kwangu mimi bocco ndo anastahili kupewa uchezaji bora TPL Msimu huu
Juma nyangi yupo alliance ni mzuri mara ,7 ya mkude tatizo nidhamu tuKama tutapata middle mzuri mzawa sawa tofauti na hapo si sawa kumuacha mkuu
Unaonaje ukiomba kazi ya kuwa unafundisha mifumo.hapoMimi nachotamani kuona msimu ujao ni wachezaji wapya wente uwezo binafsi na wenye uwezo wa kuamua matokeo... Tunahitaji striker mwenye uwezo wa kutafuta mipira kukaa na mipira na kufunga vilevile.
Beki mwenye roho mbaya beki mwenye kutumia akili nyingi na mwenye uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu (Vichwa)
Tunahitaji kiungo mkabaji na mwenye sipidi mwenye uwezo wa kupandisha timu, mwenye pasi za haraka.
Mfumo wetu uwe wa 3:4:3 au 4:3:3
Waaambie hao uliowataja waanze kudaka nao kama wanawezaSimba ni sehemu salama ya kuua vipaji vya wachezaji! Daah yaan jembe kama Mbonde ndio lishapotea! Kwasi, Mo, Salamba, Mlipili ..........Then mbabaishaji kama Manula eti anacheza!
Alafu viungo sibaki zile zile redio za mitumba?Usajili ujao utahusisha sana wachezaji kutoka nnje, ndio maana nasema kama kuna wazawa watabaki, inabidi wapambane kwelikweli
Simba tutahitaji beki namba tatu kutoka nnje mkali
Tutahitaji mabeki wawili wa kati kutoka nnje wakali
Tutahitaji mawinga wawili wakali kutoka nnje
Tutahitaji pia mshambuliaji mmoja mkali kutoka nnje
Hii ni kama tunalitaka kweli kombe la ligi ya mabingwa Africa
Utakuwa hauna akili vizuri ww beki zimefungwa na kagere izo nazo ni beki?Simba tukipata zile beki za NKANA itapendeza sana. Zimetulia no mapepe!
Wawa abaki juko aondoke itakuwa umeanza bangi ukubwaniWakuachwa: Zana,. Kwasi, juuko, bukaba, mbonde, mzamiru, mo Ibrahim, ndemla, salamba, mkude, kotei, Simba kwa Sasa imeyumba Sana kwenye eneo la kiungo,. Kotei na akina mkude wamefeli kabisa.