ellenpeter
Member
- Nov 4, 2017
- 5
- 3
Inategemea na mahusiano husika Kama maelewano yapo vizuri Hakuna haha ya ratiba nikupeana tu kila mnapohitaji
Nikijisikia tu namwambia mama Shija hebu njoo kuna hela yangu ilidondoka nitafutie huku chumbani .
Akija tuu ngwala!
Ulisomaga HKL? maana unachambua vipengele vya fani na maudhui fika!Baada ya kumaliza kusoma huu uzi, nikagundua yafuatayo kutoka kwa baba Bhoke.
1- Baba Bhoke hafanyi maandalizi kwa mkewe wakati wa tendo la ndoa, hivyo mama Bhoke anaamua kumpa mumewake hata kama hana utayari.
Hali hii imemfanya mama Bhoke asifurahie tendo la ndoa na kiuhalisi, mama Bhoke amekua akibakwa na Baba Bhoke.
2- Baba Bhoke hajatenga muda wa kumrairai/kumpetipeti mama Bhoke na badalayake baba Bhoke anadhani anamtosheleza mkewake kwasababu anamtimizia kila anacho kihitaji.
3- Mama Bhoke hapati muda wa kusikilizwa na Baba Bhoke, na hii humfanya mama Bhoke ajione kama chombo tu cha kutumika kingono na mumewe hata kama pengine anamahitaji yake ya msingi kama mke.
Tatizo la wasichana wengi huwa wanafikiri sex inazeesha haraka kama wanavyofikiria kuwa kunyonyesha sana na kwa kipindi chote kinachotakiwa kuwa ni kuharibu matiti na hayatakuwa tena na mvuto. sasa iko hivi kwanini umeoa kuna sababu nyingi ofcourse sio kwa ajili ya ku sex ila sex ni sehem ya ku enjoy na mkeo. tachane na historia ya mababu maana niliwahi kwenda kwa babu nikamuuliza anambie ni marangapi natakiwa ni sex na mkewangu alichonambia siwezi kuandika hapa ila twende na la kileo, ni kwamba hamu huja kutokana na sababu nyingi na huwa inatoweka kutokana na sababu zingine nyingi tu. ukiwa na mke hakikisha unamuepusha yeye kupoteza hamu ya kuwa na wewe muda anaotaka au muda unao mhitaji hakikisha kila siku anafuraha moyoni mwake na huondoki kwenye mawazo yake, mbebe vizuri au mlee vizuri swala la kuchoka huwa halipo, kuna kina dada wanawalisha waume zao vyakula au wanawapikia mitindo maalum ili kuwachemsha waume zao wapate genye wa sex. wanaume wengine wanapenda sana kumendea supu ya pweza ilihali apate hamu ya sex jioni bila ya kuzingatia uhusiano wa yeye na mkewe na je mkewe afya yake vipi itaruhusu kukuachia kula tunda na akafurahi......tuendelee Loading......uzi huu maalum kwa wana ndoa au watu wanaoishi na wenzao ,nmekuja kuuliza maana leo katika pita pita zangu mtaani nipo sehemu nikaona mdada ana lalamika kuwa kachoka na baba boke maana baba boke kila siku anataka ana mshauri wapange kuwa kwa wiki iwe hata mala moja aliposema mala moja mwenzake akastuka akasema wafanye hata mala mbili ,mwenzao mwingine akasema wafanye mala tatu ,mpaka naondoka eneo la tukio nikaacha mjadala nikasema ngoja niulize wadau eti ili ionekane unamtendea haki mwenzio kwa wiki inaitajika mala ngapi
Unaoje mwanamke asie na mvuto kwako?Inategemea na mvuto wa mwanamke
Mvuto niliosema unahusu kimapenzi. Siyo sura mkuu..Unaoje mwanamke asie na mvuto kwako?
Naelewa..mkeo lazima akuvutie kimapenzi, sasa kama hakuvutii inashangazaMvuto niliosema unahusu kimapenzi. Siyo sura mkuu..