Sembeta jr
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 805
- 366
Tumejuana na mdada huku mtandaoni, tukapeana namba tukawa tunawasiliana na kutaniana sana kwa kipindi cha miezi mitatu bila kuonana, sasa tukapanga kuonana huku kila mmoja akiwa na furaha na mawazo ya kufall in love at first sight, kwakuwa ye anatoka makongo juu na mi kawe tukaona tukutane mweenge ndo tupange kwa kwenda kubarizi, mi nadrive nikafika wakwanza yeye akaja dk10 badae nikamwelekeza nilipo paki gari.....nikaona wadada wawili m1 mrembo sana mashaalah na mwingine wa kawaida sana tu wanakuja nilipo na kuniuliza we ndo transporter nikajibu ndio mimi yule wakaida akajibu na mimi ndo xxx.!! Wakati wote huo wa utambulisho mi nimeduwaa na nimedata na urembo na uzuri wa mwenzie huku nikiwaza kimoyomoyo kwanini huyu mrembo asingekua xxx...bari tukatoka tukala kunywa nk...nilhakikisha napata namba ya yule mrembo mpaka sasa tunawasiliana lakini huyu xxx kumbe kafa kaoza kwangu afu mi cna hata hisia za kufosi kwake nikaona nimchane live kwamba mi nampenda rafki yake ye tubaki kama best friends tu..hapo ndo balaa lilipoanzia kwani yeye na rafiki yake hakuliki hakulaliki ni ugomvi kwenda mbele yani anavma kwangu meseji kila siku za vitisho mara ooh huyo rafiki yangu anangoma mara hil...hivi nilikutuma uje na huyo rafiki yako? Hivi mi kosa langu nini?? Najua upo hapa na utaisoma hii post...its not my fault that i codnt love you, its also not my fault that i chose your friend.
Ni hivi you cant force me to fall in love with you and i dont wanna play with your feelings...Love can not be done nor can it forced to anyone.....it just happens and flows just like you love me and i love ur friend.
Huenda usingekuja na rafiki yako kulikua na chance ya kukupenda wewe...na hii iwe somo kwa wadada wengine kwamba mtoko,date mwaliko wa kwako unabeba na wenzio wa nini???So nimeamua na huyo rafiki yako kuachana naye and i hope na wewe utaacha kunisumbua,
I still take you as my bestfriend and i hope u,ll do the same, na nampango wa kutafuta mchuchu mwingine so ukae na amani
Ni hivi you cant force me to fall in love with you and i dont wanna play with your feelings...Love can not be done nor can it forced to anyone.....it just happens and flows just like you love me and i love ur friend.
Huenda usingekuja na rafiki yako kulikua na chance ya kukupenda wewe...na hii iwe somo kwa wadada wengine kwamba mtoko,date mwaliko wa kwako unabeba na wenzio wa nini???So nimeamua na huyo rafiki yako kuachana naye and i hope na wewe utaacha kunisumbua,
I still take you as my bestfriend and i hope u,ll do the same, na nampango wa kutafuta mchuchu mwingine so ukae na amani