Baada ya maisha yaliyojaa purukushani,kasheshe na hekaheka ya uanaume hatimaye nimekituliza kwa mtoto wa kinyalu tunayetegemea kufunga nae ndoa hapo mapema mwakani nikiwa kama mwana MMU ninayechipukia baada ya kukimbia kule siasani naombeni michango yenu ya hali na mali ili kufanikisha shughuli hii, suala ninalojiuliza je, nitaweza kujituliza ili nisipende tena na njia gani nitumie maana sitaki kumsaliti my wife baada ya kumuoa maana nimemuumiza sana hivyo nataka apate pumziko la moyo toka kwangu.