Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,071
- 9,472
Kwa mapokezi aliyopata mh Rais yameonesha namna Wana Mbeya walivyo na Imani na uongozi wake, utumishi wa kutukuka wa mh Rais umewakonga nyoyo wananchi wengi Sana, Sasa wanambeya wanamuona mama Kama kiongozi na Rais wao wakujivunia, maana mh Rais amekuwa msikivu na mwenye kujari Sana watu kwa kufanya Mambo na vitu vinavyo wagusa moja kwa moja.
Utekelezaji wa miradi mingi ya maendeleo mkoani Mbeya unawapa matumaini wananchi kwenye nchi ya asali na maziwa kwa kutumia rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, Sasa wanambeya wapo bize na kazi kumuunga mkono mama.
Sasa wanambeya wanajiona wanayo Nafasi ya kuijenga nchi yao, wanaoona Sasa hawaachwi nyuma Wala kusahaulika katika keki ya Taifa, Asante mh Rais kwa hotuba yako nzuri katika kilele Cha maonyesho ya Nane Nane, kazi iendeleeee
Utekelezaji wa miradi mingi ya maendeleo mkoani Mbeya unawapa matumaini wananchi kwenye nchi ya asali na maziwa kwa kutumia rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, Sasa wanambeya wapo bize na kazi kumuunga mkono mama.
Sasa wanambeya wanajiona wanayo Nafasi ya kuijenga nchi yao, wanaoona Sasa hawaachwi nyuma Wala kusahaulika katika keki ya Taifa, Asante mh Rais kwa hotuba yako nzuri katika kilele Cha maonyesho ya Nane Nane, kazi iendeleeee