Za Kandoro zitakuwa cha mtoto nakwambia maana kipindi kile viliungua vituo vya polisi viwili safari hii aweza kuyaona makubwa watu wanajua upumbavu ufanyikao.Huyu lecture wangu kawa mpuuzi dadeki, mbeya ilishatengwa kitambo sana na bado inapambana na kuwapa mapato, kiufupi mbeya inaweza kuwa nchi nyingine ikijitenga na tz, asipojiangalia atasababisha vurugu za kipuuzi kama zile za Late Kandoro.
Lecture gani mbona haitwi Doctor.Huyu lecture wangu kawa mpuuzi dadeki, mbeya ilishatengwa kitambo sana na bado inapambana na kuwapa mapato, kiufupi mbeya inaweza kuwa nchi nyingine ikijitenga na tz, asipojiangalia atasababisha vurugu za kipuuzi kama zile za Late Kandoro.
mkuu ukorofi huoLecture gani mbona haitwi Doctor.
Atatulia tu hakuna mtu wa kuisumbua mbeya we ngoja aone moto wakeZa Kandoro zitakuwa cha mtoto nakwambia maana kipindi kile viliungua vituo vya polisi viwili safari hii aweza kuyaona makubwa watu wanajua upumbavu ufanyikao.
Tena huyu jamaa juzi kaandika gazetini mwananchi eti ccm wamsamehe kwa kutokumtangaza mgombea wa ccm na kumtangaza wa ccm aliyeangushwa. Alijiona mbabe kwa tangazo lake.
Ipo siku atafuata nyayo za wenzake waliomtangulia. Huwezi kushindwa kutusaidia wanambeya halafu ukawa mstari wa mbele kutuumiza.
Lecture ni doctor acha kumpa kichwa better ungesema assistant ningekuelewa huyu kenge ananikera sana.mkuu ukorofi huo
We kweli mchawiii !!!!Mbeya Mmepatikana mtapata taabu sana hahahahahahahahahahahahahah
Ahaa sawa mkuu, ni assistantLecture ni doctor acha kumpa kichwa better ungesema assistant ningekuelewa huyu kenge ananikera sana.
Chuo gani kakufundisha huyu muchknowAhaa sawa mkuu, ni assistant
Mpumbavu huyo na kichwa chake kama bajaji.Msikasirike, sikilizenibukweli anaowapa.
Mmechagua upinzani sasa mnakula jeuri yenu.