MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,673
- 4,990
Ndugu wanajamii nimepita huku na huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii maneno na maswali ni mengi juu yakuondoka kwenye chama ndugu lowassa mimi naamini ktk sera itikadi pamoja na mapenzi kwa chama huwa napenda kuwaambia wale bendera fata upepo kwamba chama sio mtu chama sio mbowe leo ikitokea mbowe kafaliki [hatuombei] wewe bendera fata upepo utasimama wapi tusimame imala Kama kweli hatulizishwi na huu uonevu tumeopoteza Makamanda wetu Kama mawazo beny saa8 kina lissu wamemwaga Dam mchana kweupe haya yawe chachu yakutowafata hawa wasaka vyeo nihayo