Wanaludewa wamenyimwa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge.Huyo Mbunge anayesemekana alipita bila kupingwa amewanyanganya Demokrasia WanaLudewa.Ndugu Manfred Peter Mtitu Kaza Buti katika Kesi uliyofungua mahakama kuu kanda ya Iringa.
Ulinyimwa fomu katika Mazingira ya kutatanisha naomba Wanaludewa na wapenda Haki wote Duniani Tumchangie Ndugu Manfred katika Kesi ya kuwarudishia haki ya kikatiba Wanaludewa.
Mwanaharakati na Mtu aogopaye kumnyang'anya mnyonge haki yake
Ulinyimwa fomu katika Mazingira ya kutatanisha naomba Wanaludewa na wapenda Haki wote Duniani Tumchangie Ndugu Manfred katika Kesi ya kuwarudishia haki ya kikatiba Wanaludewa.
Mwanaharakati na Mtu aogopaye kumnyang'anya mnyonge haki yake