Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kila nikukumbuka ahadi ya Mkwere ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai huwa nacheka peke yangu.
Na sasa kudhihirisha kuwa Mkwere si mtu wa kumuamini hata chembe, ameteua Baraza la Mawaziri bila kuwa na Waziri yoyote kutoka mkoa waKigoma.
Washabiki wa CCM kazi munayo.
Kaazi kweli kweli!
Na sasa kudhihirisha kuwa Mkwere si mtu wa kumuamini hata chembe, ameteua Baraza la Mawaziri bila kuwa na Waziri yoyote kutoka mkoa waKigoma.
Washabiki wa CCM kazi munayo.
Kaazi kweli kweli!