Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Acha ni kujibu tu nikiwa mwanakigoma.Wanakigoma ambao ni waha, manyema, watongwe, wajiji, wagoma, wabembe na wafipa na watutsi wachache.
Watu wa kigoma asilia wamehamia kutoka nchi za jirani karne nyingi zilizopita.
Watu wa kigoma kiasilia they are migratory people.Hivyo wamesambaa mikoa mingi.
Watu wa kigoma ni makabila ya kwanza kuanzisha miji hapa nchini kuanzia kigoma ujiji, tabora mjini, mwanza mjini, Dar, morogoro nk.
Watu wa kigoma ni kati ya makabila yalioweza kumiliki viwanja mapema zaidi, kuanzia kariakoo, magomeni, tandika nk ambapo nyinyi mlikuwa bado mnawinda ngedere huko kijinini kwenu.
Watu wa kigoma waliupokea ustaarabu mapema zaidi kuliko wasukuma, wanyamwezi nk.Watu wa kigoma walielimika mapema zaidi kuliko makabila mengi(elimu ya kiarabu).
Watu wa kigoma walikipokea kiswahili mapema zaidi ya makabila mengi tz na ndio lugha kuu pale sio kama mbeya hadi mjini kinyakyusa na kisafa kwa kwenda mbele.Watu wa kigoma(manyema) are travellers, ni watu wanaosafiri na wametawanyika nchi nyingi na mikoa mingi kuliko mnavyofahamu.
Watu wakigoma nii watu wa mabadiliko katika nyakati.
Watu wa kigoma ni watu wanaojifunza na wadadisi wa mambo na hutaka kuyajua kiundani.
Watu wa kigoma ndio watu wa kwanza kupata elimu ya kimazingira ya majini na uvuvi.
Watu wa kigoma ni watu wanaojitoa mhanga kubadili hali zao kiuchumi bila ya msaada wa serikali.
Watu wa kigoma ndio watu wanaomiliki maduka mengi mikoa ya kanda ya ziwa.
Watu wa kigoma ndio watu walioitawala biashara ya masoko kuanzia kariakoo na mikoa ya kanda ya ziwa(ikumbukwe kigoma huzalisha kwa wingi zaidi dagaa, maharage, tangawizi, mawese, sabuni, mihogo, na madini pemba nk).
Watu wa kigoma wengi tu wamesoma pengine kuwazidi makabila mengi japo serikali iliwatenga kwa miaka mingi kutokana na mrengo wa kidini.
Watu wa kigoma ndio wajanja wa mjini utawakuta magomeni, kariakoo, ilala tandika nk.wanapiga dili
Watu wa kigoma ni watu wenye vipaji vikubwa vya sanaa hadi yule wa ulaya kwao ujiji.
Watu wa kigoma wanastrago kwa nguvu yao zaidi kuliko favor za serikali.
Watu wa kigoma uchumi wao ulisimama kutokana na vurugu za kivita za nchi jirani,
Watu wa kigoma ndio watu wa kwanza kuleta mageuzi nchini na mbunge wa kwanza wa upinzani ambae alikuwa Dr.Amani Kaburu.Baadae majimbo yote yalikuwa ya upinzani(sio jambo dogo ila kwa mtazamo wako finyu ni jambo dogo).

Watu wa kigoma walitengwa na serikali ya ccm kwa miaka mingi ikiamini eti sio watanzania ni wakongo na warundi, rejea kesi ya kakobe.Hivyo serikali hii haikujenga miundombinu mpaka awamu ya JK na Magu, lami na SGR (Thanks kwao).
Watu wa kigoma ndio walima tumbaku wakubwa urambo nk.
Watu wa kigoma ni watunza mazingira wakubwa kuliko makabila mengi hasa nyanda za juu kusini na kati ambao huchoma hovyo misitu, walichoma mpaka mlima Rungwe ambao unahistoria.
Kigoma ni kati ya mji unaovutia kimazingira it is very green.Hivyo acha kupotosha.
Watu wa kigoma ndio watu waliotunza mapori yao na wanyama wao tangu enzi za mababu sasa wameingia "fisi" na man'gombe yao baada ya kuharibu kwao.
Nimalizie kwa kusema watu wa kigoma wanachakula cha kujitosheleza na kulisha mikoa ya jirani pamoja na kutengwa na kubezwa tunailisha Tabora, Mwanza, Shinyanga, Singida Dar, na hawajawahi kumbwa na njaa tangu dunia ianze na hii hupelea kuwa na afya nguvu, mvuto wa sura na maumbile yasiofubaa kama makabila mengi.
Mwisho usipende kuwabeza watu wa kigoma wanahistoria kubwa katika nchi hii pengine kuliko kwenu huko na huwafahamu vya kutosha uliza ndugu ujibiwe usikurupuke.Karibu kwa hoja
 
Acha ni kujibu tu nikiwa mwanakigoma.Wanakigoma ambao ni waha, manyema, watongwe, wajiji, wagoma, wabembe na wafipa na watutsi wachache.
Watu wa kigoma asilia wamehamia kutoka nchi za jirani karne nyingi zilizopita.
Watu wa kigoma kiasilia they are migratory people.Hivyo wamesambaa mikoa mingi.
Watu wa kigoma ni makabila ya kwanza kuanzisha miji hapa nchini kuanzia kigoma ujiji, tabora mjini, mwanza mjini, Dar, morogoro nk.
Watu wa kigoma ni kati ya makabila yalioweza kumiliki viwanja mapema zaidi, kuanzia kariakoo, magomeni, tandika nk ambapo nyinyi mlikuwa bado mnawinda ngedere huko kijinini kwenu.
Watu wa kigoma waliupokea ustaarabu mapema zaidi kuliko wasukuma, wanyamwezi nk.Watu wa kigoma walielimika mapema zaidi kuliko makabila mengi(elimu ya kiarabu).
Watu wa kigoma walikipokea kiswahili mapema zaidi ya makabila mengi tz na ndio lugha kuu pale sio kama mbeya hadi mjini kinyakyusa na kisafa kwa kwenda mbele.Watu wa kigoma(manyema) are travellers, ni watu wanaosafiri na wametawanyika nchi nyingi na mikoa mingi kuliko mnavyofahamu.
Watu wakigoma nii watu wa mabadiliko katika nyakati.
Watu wa kigoma ni watu wanaojifunza na wadadisi wa mambo na hutaka kuyajua kiundani.
Watu wa kigoma ndio watu wa kwanza kupata elimu ya kimazingira ya majini na uvuvi.
Watu wa kigoma ni watu wanaojitoa mhanga kubadili hali zao kiuchumi bila ya msaada wa serikali.
Watu wa kigoma ndio watu wanaomiliki maduka mengi mikoa ya kanda ya ziwa.
Watu wa kigoma ndio watu walioitawala biashara ya masoko kuanzia kariakoo na mikoa ya kanda ya ziwa(ikumbukwe kigoma huzalisha kwa wingi zaidi dagaa, maharage, tangawizi, mawese, sabuni, mihogo, na madini pemba nk).
Watu wa kigoma wengi tu wamesoma pengine kuwazidi makabila mengi japo serikali iliwatenga kwa miaka mingi kutokana na mrengo wa kidini.
Watu wa kigoma ndio wajanja wa mjini utawakuta magomeni, kariakoo, ilala tandika nk.wanapiga dili
Watu wa kigoma ni watu wenye vipaji vikubwa vya sanaa hadi yule wa ulaya kwao ujiji.
Watu wa kigoma wanastrago kwa nguvu yao zaidi kuliko favor za serikali.
Watu wa kigoma uchumi wao ulisimama kutokana na vurugu za kivita za nchi jirani,
Watu wa kigoma ndio watu wa kwanza kuleta mageuzi nchini na mbunge wa kwanza wa upinzani ambae alikuwa Dr.Amani Kaburu.Baadae majimbo yote yalikuwa ya upinzani(sio jambo dogo ila kwa mtazamo wako finyu ni jambo dogo).

Watu wa kigoma walitengwa na serikali ya ccm kwa miaka mingi ikiamini eti sio watanzania ni wakongo na warundi, rejea kesi ya kakobe.Hivyo serikali hii haikujenga miundombinu mpaka awamu ya JK na Magu, lami na SGR (Thanks kwao).
Watu wa kigoma ndio walima tumbaku wakubwa urambo nk.
Watu wa kigoma ni watunza mazingira wakubwa kuliko makabila mengi hasa nyanda za juu kusini na kati ambao huchoma hovyo misitu, walichoma mpaka mlima Rungwe ambao unahistoria.
Kigoma ni kati ya mji unaovutia kimazingira it is very green.Hivyo acha kupotosha.
Watu wa kigoma ndio watu waliotunza mapori yao na wanyama wao tangu enzi za mababu sasa wameingia "fisi" na man'gombe yao baada ya kuharibu kwao.
Nimalizie kwa kusema watu wa kigoma wanachakula cha kujitosheleza na kulisha mikoa ya jirani pamoja na kutengwa na kubezwa tunailisha Tabora, Mwanza, Shinyanga, Singida Dar, na hawajawahi kumbwa na njaa tangu dunia ianze na hii hupelea kuwa na afya nguvu, mvuto wa sura na maumbile yasiofubaa kama makabila mengi.
Mwisho usipende kuwabeza watu wa kigoma wanahistoria kubwa katika nchi hii pengine kuliko kwenu huko na huwafahamu vya kutosha uliza ndugu ujibiwe usikurupuke.Karibu kwa hoja
mkuu umeongea mengi lkn suala la kujenga kigoma ni kweli waha hatupendi kwenda kujenga kigoma....maana badala ya furaha inaweza kuwa chanzo cha matatizo...kiufupi kigoma ni wachawi sana tu....hatuhitaji historia tunahitaji watu wa kigoma wabadilike.......
 
Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Waambie wazee na vibibi waache ulozi, wataona majumba yanamea kama uyoga
 
Kigoma ni sehemu nzuri kwa kuishi na kuwekeza,lakini serkali imetelekeza mkoa ule kwa muda mrefu,kwahiyo wananchi wote wenye uwezo na fikra chanya za maendeleo waliamua kuhama na kwenda kuishi sehemu zenye huduma zote za msingi..

Mfanyabiashara makini hawezi kukaa sehemu haina barabara,haina umeme,haina ndege,.

Watu wa kigoma ni wachapa kazi haswaa ila kazi zao haziwafikishi popote sababu serikali haijawekeza vizuri kwenye miundombinu hasa barabara za kuingia na kutoka kigoma.


Kigoma inahitaji vitu vifuatavyo ili iende mbele

1.meli angalau mbili za mizigo na abilia kwa ajili ya DRC na Burundi.

2.Barabara ya lami Kigoma-mpanda.

3.barabara ya lami kigoma-tabora

4.barabara ya lami kigoma-shinyanga
5.barabara ya lami kigoma-kagera

6.barabara ya lami kigoma-burundi

7.usafiri wa ndege wa uhakika

8.umeme wa uhakika.

Hiyo miundo mbinu itasaidia sana.
Barabara ya lami hadi Tabora 70% tayari na ujenzi unaendelea, barabara ya lami hadi Shinyanga 80% tayari ipo, barabara ya lami hadi Bukoba 70% tayari ipo na ujenzi unaendelea, barabara ya lami hadi Bujumbura 100% tayari upo, usafiri wa ndege Kigoma Dar kila siku ATCL, Umeme no wa generator lakini ni wa uhakika zaidi kuliko Dar
 
Thubutu

Hivi hujajua kwanini hawajengi huko ...kuna uchawi mtakatifu huko utadhani shetani ndio amezaliwa kule.

ukijenga tu jiandae kurudi kwenye jeneza ..watu hawataki kabisa kuona vijana wanakuwa na maendeleo.

kuna wengine ambao niwazawa hawataki kurudi hata kutembea kwao
yaani hawataki kurudi hata kwa bahati mbaya
 
kuna mikoa n ya kipekee
mfano Kilimanjaro,vijijin huduma zote zipo maji shule zahanati
kule shule zingine majengo hayana wanafunz maana n meng sana
pia kuna kampeni ya kila kijiji zahanati
kule ni jambo LA kawaida kukuta magorofa yamejengwa vijijin huko kwenye migomba
na makaz ya kule n ya kisasa majumba ya kifahari vijijin lami kila wilaya ukiwa kijijin hutaman kwenda mjin KBS
watu waliowahi kufika Kilimanjaro watakubaliana na mm
Wakisema kila mtu arudi mkoani kwao kuna wengine hawatapata pakwenda ama watagoma maana watauwawa na ugomvinwa ardhi isiyotosha .

Kuna mikoa inaitwa mikoa lakini ukubwa wa ngumi.

Nisawa na nchi ya Rwanda kuonekana ina maendelo kuliko Kogo,Tanzania, ama Uganda kwa kuangalia miundo.mbinu .

Ukiwa na kaeneo kadogo ni rahisi kukafunika kwa rami kote.
 
Hivi nyie mnaongelea Kigoma ipi ambayo mnaipa sifa za uchawi na kutopenda kwao?

Kule pako safi, na maendeleo ni dhahiri!
 
mkuu umeongea mengi lkn suala la kujenga kigoma ni kweli waha hatupendi kwenda kujenga kigoma....maana badala ya furaha inaweza kuwa chanzo cha matatizo...kiufupi kigoma ni wachawi sana tu....hatuhitaji historia tunahitaji watu wa kigoma wabadilike.......

Suala la waha kujenga kigoma ni la kihistoria na linatokana na kigoma kutengwa, hivi nani angeenda kujenga kiwanda hali umeme haupo? Kama unaungana na wapinzani wa kgm sawa lakini muda ndio utakaosema.Siamini kama kigoma itabaki hivohivo iwapo kutakuwa na miundombinu mizuri, ikumbukwe miundombinu inajengwa na serikali.
Sisi watu wa kigoma hatutakiwi kwenda kujenga nyumba kigoma bkama mtoa mada anavyodhani bali kujenga uchumi ikiwa ni uwekezaji katika mashamba ya kahawa, mawese, ndizi, taangawizi,parachichi, tumbaku, mihogo, kakao,nazi uvuvi na viwanda.
 
mkuu umeongea mengi lkn suala la kujenga kigoma ni kweli waha hatupendi kwenda kujenga kigoma....maana badala ya furaha inaweza kuwa chanzo cha matatizo...kiufupi kigoma ni wachawi sana tu....hatuhitaji historia tunahitaji watu wa kigoma wabadilike.......

Suala la waha kujenga kigoma ni la kihistoria na linatokana na kigoma kutengwa, hivi nani angeenda kujenga kiwanda hali umeme haupo? Kama unaungana na wapinzani wa kgm sawa lakini muda ndio utakaosema.Siamini kama kigoma itabaki hivohivo iwapo kutakuwa na miundombinu mizuri, ikumbukwe miundombinu inajengwa na serikali.
Sisi watu wa kigoma hatutakiwi kwenda kujenga nyumba kigoma bkama mtoa mada anavyodhani bali kujenga uchumi ikiwa ni uwekezaji katika mashamba ya kahawa, mawese, ndizi, taangawizi,parachichi, tumbaku, mihogo, kakao,nazi uvuvi na viwanda.
 
Ni kweli Kigoma hawajengi,hata Wageni wanaoenda kikazi wanapata shida kupanga nyumba.Yaaani ni mtihani kupata nyumba standard ya kuweza kupanga.Nafikiri dhana ya uchawi bado imeshika kasi.Nimetembelea almost maeneo yote,kuna maeneo wenyeji wanakwambia be careful hata kula,kushika vitu hovyo umeeenda.Ki ukweli utendaji kazi Kigoma ni shughuli pevu Utakutana na Wabishi,Vigagula mpaka utatamani kuresign kazi.
Mbona husemi kuwa kigoma hujawahi kosa mahitaji yako ya msingi ya kuvimbisha tumbo lako mpaka unavimbiwa! Kuna mikoa njaa tupu huoni hata cha kununua.Unavimbiwa maharage, unavimbiwa dagaa, samaki, unavimbewa ndizi nk unafikiri hivyo vitu vinajilima shambani.Mikoa mingi inategemea sabuni za kgm af wewe unasema hawafanyi kazi K kweli wewe.
 
Unajua kiwanda wewe. Yaani aya mawese na yanayozalisha kwa locally unasema nayenyewe ni viwanda haha. Yaan nikisema mkoa wote ni vumbi sio uongo ni kweli maan wakat nasoma advance bukoba. Yaani nimelala njian sana tatizo ni barabara mvua ikianza kunyesh ni tatizo. Alafu nakikmbuka tulikua tunafikia beach ya bukoba ili tuoge kwanz ndio tuingie shule maam tulikua tnafika tumeoga vumbe. Yaani shule nzima sis ndio tulikua kama special group na tunatoka kam maporini vile kama wanyama lakini waliobaki wote walikua wanaja salama. Aya treni nimepanda ila serikali imetelekeza san treni maan kwanza kukata tiketi ni shida yaan ili ukate tiket kama sio kulala steshen basi inabidi uwe unajuana na wakubwa au utoe chapaa. Sas ndugu yangu katika mazingir kama ayo kutoka kigoma kwend mkoa mwingne ni shida sasa patakua na maendeleo gani. Nakumbuka wakat bunge linapigania kupeleka umeme vijijini mikoa mingn, kigoma palikua amna wilaya ata moja yeny umeme zaid ya kigom mjin. Aya leo hii wilaya kubwa zot za kigoma kama kasulu ni vumbi tupu. Sas nan atawekeza kweny vumbi na huu umem wa jenireta ambalo ata mim naweza kununua nikawa na umeme wang ndan kuliko kua na umeme wa tanesko ya jenireta. No new thing will happen to kigoma if our government will not construct infrastructure.
Wewe huna akili, we ulijenga kwenu lami.
 
we ndo umeongea kitu chenye akili sasa
Kuna maeneo nipo mkuu mikoa fulani watu wamedumaa utasema mbilikimo wa kongo, wakiendelea ntawataja waache tu! Kigoma watu shababi and handsome lishe ya kutosha akili nyingi, kuna watu utasema wamelamba ndimu waache tu ntawataja sasa hivi.
 
Kigoma ni nyumbani kwa kila mtanzania,hata wewe unaweza kwenda kuchukua fursa pale na kusaidia kujenga nchi yako
Mtu anaponda utasema yeye ni mkenya, baadhi ya watanzania hawana akili kabisa.kama ni mchaga na anaona kigoma kubaya kwa nini asirudi kwao moshi.
 
Mbona husemi kuwa kigoma hujawahi kosa mahitaji yako ya msingi ya kuvimbisha tumbo lako mpaka unavimbiwa! Kuna mikoa njaa tupu huoni hata cha kununua.Unavimbiwa maharage, unavimbiwa dagaa, samaki, unavimbewa ndizi nk unafikiri hivyo vitu vinajilima shambani.Mikoa mingi inategemea sabuni za kgm af wewe unasema hawafanyi kazi K kweli wewe.
Umeelewa maelezo yangu au umeleta mihemuko.Mimi sizungumzii suala la kula,kama ni kula basi fuatilia Takwimu za Mikoa yenye udumavu kisa kukosa Lishe bora.Pia takwimu za umaskini zinaonesha kuwa hakuna hatua,sasa kama unaleta Mihemuko na Matusi haiwezi kuwa suluhu.
 
Back
Top Bottom