Halafu kakatutukana kwamba tusiokunywa chai asubuhi ni sababu ya uvivu wetu na si umaskini.Hii hali inasikitisha mno lazima tutafute muarobaini wa kuiondoa CCM Kagera. Kama Jimbo langu la Nkenge mpaka leo siamini huyu mwanamama alipitapita vipi? Wapiganaji tuamke ukombozi unaanza na sisi. Wasomi tumelala