Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
wazo zuri PJ tupo pamoja
1. Kama unaona hatari sana jina lako kuwa revealed, basi mpe namba hii AGENT wa Mpesa aitume kwa SAJENTI mbele yako.Mungu akubariki kwa kujitoa kwako. Na mimi hofu yangu ni majina yetu itakuwaje, atakuwa mwaminifu kuficha majina yetu, manake kwenye Mpesa tumesajiri majina yetu halisi. Kwako PJ plz naomba ufafanuzi juu ya hili kabla sijatuma
Mungu akubariki kwa kujitoa kwako. Na mimi hofu yangu ni majina yetu itakuwaje, atakuwa mwaminifu kuficha majina yetu, manake kwenye Mpesa tumesajiri majina yetu halisi. Kwako PJ plz naomba ufafanuzi juu ya hili kabla sijatuma
Kiongozi,Mimetupia mchango hapo,,,,, E29KR... Imethibitishwa Tshs 3,000 imetumwa kwa Abd..... tarehe 11/1/12.
Mwambie adelete msg zetu tusije kuvunja kanuni za JF kwa kutoa siri za majina ya members.
Naamini kwa buku tatu yng ukijimlisha na za memba wengine 1000 kati ya wote 59,000 wa JF jamaa atakuwa na pa kuazia kusolve problems. Pia tutamsaidia counselling akihitaji.
Weka picha za msibani maana siku hizi watu wengi wajasiliamali:
hata mimi nimetuma lakini atajuaje kuwa crashwise ndiyo ******** hata kama atayaanika....ninavyoona hakuna haja ya kujua Ram ndio Abdallah ambalo ndio jina halisi kinachotakiwa ni mchango
Hana jinsi yoyote ya kujua, unless kama mtumaji anaunganisha na text fulani yenye kureveal ID na Jina kwa hiari yake mwenyewe... hizi hofu zingine zinakuwa Above Sea Level!hata mimi nimetuma lakini atajuaje kuwa crashwise ndiyo ******** hata kama atayaanika....
Mkuu pakaj nami natuma buku ten muda huu. kufarijiana ni jambo muhumu sana mkuu.
Mamndenyi,Tayari nimetuma mkuu.
Ameniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....Hana jinsi yoyote ya kujua, unless kama mtumaji anaunganisha na text fulani yenye kureveal ID na Jina kwa hiari yake mwenyewe... hizi hofu zingine zinakuwa Above Sea Level!
Mkuu CRASHWISE, Mungu amekuona, na kama ni baraka tayari hapo ulipo unatembea nazo!
Weka picha za msibani maana siku hizi watu wengi wajasiliamali:kidding)
Sajenti
https://www.jamiiforums.com/members/sajenti.html11th October 2010 11:06
Tarehe 10.10.2010 - Thank you my lovely wife Jackline....Siku ya jana tarehe 10.10. 2010 mimi na my wife wangu kipenzi Jack tulikuwa tunatimiza miaka 3 ya ndoa yetu.Pamoja na mawimbi ya hapa na pale mungu ametufikisha hapa. What a wonderful wife and mother you are Jack??? Kwa kupitia JF napenda kumwambia mke wangu kwa kweli nakupenda sana wewe na mwanetu Nancy " Kadadaa"..Najua my wife huwa anapita pita humu..
https://www.jamiiforums.com/members/sajenti.html