Anderson Shimb
Senior Member
- Dec 23, 2013
- 169
- 25
Kumejitokeza baadhi na huenda ni wachache sana JF ambao mara wakiona thread ambayo kwa mtizo wao hawaipendi na mbaya zaidi hawatoi sababu kwa kujenga hoja, huanza kurusha mabango kwa kusema mra buku 7 hao, mara katumika, mra magamba, mara Lumumba, Watu hawa wanasahau kabisa kuwa kumkatalia Mwenzako asiwe upande wapili ni kuvunja Katiba ya Tanzania, Kwani Katiba hiyo hiyo ndiyo iliyoruhusu ziwepo hizo pande mbili. Jamani tuwe wavumilivu kwa kujenga hoja.Mimi Sijawalazimisha kuwa upande wa Ngumi, Matusi, Majumba Dubai, Kuvuani Nyazifa, Kutumia michango ya m4c bila utaratibu,Kukatisha safari za wabunge ili kwenda Dubai kuutupa, kunyan'ganya komputa mpakato kwa nguvu na matofari kumtupia mmiliki ili mradi Labtop hiyo ni nzuri kuliko ya Mwenye Jumba Duba, hivyo lazima amiliki yeye.