Wana JF tumwambie Rais Magufuli kwa kauli moja, amfukuze kazi Waitara

Alwwys watz huwa ni watuwa kufanya maamuzi ya kipumbav, kwa sasa tunamshangilia lissu, ila mjue mda wa kulia machozi hauko mbali sana, msifurahie sana anavohangaika kuiuza nchi kwa wazungu, hawa chadema sio watu wa kuwaamini even a single minute. Kama lowasaaliweza kuwanunua anzia mwenyekiti wao hadi mtendaji wa mtaa na sasa wanajuta, kama wabunge sijui kina nani ambao chadema inaclaim kuwa wamenunuliwa na ccm, hivi lissu ni nani ambaye anaweza kukatiza pesa za wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu "Holy Star" tuachane na ya Lowasa na Chadema, tukemee Hili la Waziri Tena mwenye ofisi katika Ikulu yetu kupanga "kumtanguliza" Mtanzania na mwana JF mwenzetu!!
Hebu tutafakari Iwapo kila serikali inayoingia madarakani itakuwa na mentality ya "kutanguliza" watu, nani atakuwa salama katika nchi hii!!?
 
Alwwys watz huwa ni watuwa kufanya maamuzi ya kipumbav, kwa sasa tunamshangilia lissu, ila mjue mda wa kulia machozi hauko mbali sana, msifurahie sana anavohangaika kuiuza nchi kwa wazungu, hawa chadema sio watu wa kuwaamini even a single minute. Kama lowasaaliweza kuwanunua anzia mwenyekiti wao hadi mtendaji wa mtaa na sasa wanajuta, kama wabunge sijui kina nani ambao chadema inaclaim kuwa wamenunuliwa na ccm, hivi lissu ni nani ambaye anaweza kukatiza pesa za wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu "Holy Star" tuachane na ya Lowasa na Chadema, tukemee Hili la Waziri Tena mwenye ofisi katika Ikulu yetu kupanga "kumtanguliza" Mtanzania na mwana JF mwenzetu!!
Hebu tutafakari Iwapo kila serikali inayoingia madarakani itakuwa na mentality ya "kutanguliza" watu, nani atakuwa salama katika nchi hii!!?
 
waliosema Yesu asulubiwe walikuwa wakihofia ataungwa mkono na kuwa mfalme sawasawa na wanaosema TL asulubiwe. Pia hawakutaka awe maarufu. wanasahau kuwa maisha ni maafupi kuliko wanofikiria!
 
Mkuu Zakaria, acha kumuonea wivu wa bure Waitara.

Huu utakuwa wivu tuu, Waitara afukuzwe kwa kosa gani?.

Wewe ungekuwa mpiginia haki wa ukweli, ungeanza na aliyezungumzia "msaliti hawawezi kuachwa hivi hivi akisurvive tuu" ndipo kwa Waitara, vinginevyo ni wivu tuu wa maendeleo ya Waitara unakusumbua.
P
wivu upi jk Nyerere alimkosoa Mzee mwinyi vipi na yeye ni beberu
 
Naona tatizo ni moja tuna viongozi wasiojua kuwa kuna Mungu.
Welewa madaraka na sasa wanafikiri wana mamlaka juu ya roho za watu.
Hawana hofu ya Mungu. Hawajui Maneno ya Mungu zaidi ya kuombewa mara kwa Mara.
Naamini hata Huyo beberu ni pombe tu kichwani hana hata Muda wa kusoma Biblia wala Kurani. Hajui jinsi Mwenyezi Mungu alivyo mkuu.
Hajui haki na batili ni nini!!
Tuliona mcha Mungu Prof. CAG alivyopigwa vita ili aondolewe.
Angalieni Viongozi wachaMungu wanaozijua vyema dini zao walivyo na Hekma na wengi awamu wamekaa kimya.
Wanaopigapiga kelele ni walevi wa pombe na Madaraka.
Hakika nchi yetu ikiendelea kuwaweka madarakani watu wasiojua vitabu vya dini tutakua na uhasama kati ya wema na uovu, haki na dhulma.Utu na unyama.

Tuwaombe Viongozi wa dini wasimame kwa nguvu moja kulinda uhai wa Watanzania.
Huyo Beberu asifikiri kumwaga damu ya mtu ni jambo la kubadilisha na fedha na majumba na madaraka.

Haiwezekani Mabeberu tuanaowalipa mamilioni kwa kodi zetu walinde vyeo vyao kwa damu za watu.
Haiwezekana Mabeberu wanaolipwa na kuishi maisha ya kifahari wajenge Vyama vyao kwa damu za watu .

Hakuna damu isiyo na ndugu wa kuilipia kisasi kama sio Leo ni kesho.
Vitabu vya dini vinatuasa kuwa kila anayemwaga damu ya MTU ni lazima yake itamwagwa .
Biblia inasema kila auaye kwa upanda atakufa kwa upanga. Sijui kwa nini madaraka yanawatia upofu watu kwenye mambo yaliyoko wazi tangu enzi na enzi.
Wema hauozi. Uhai kwa uhai ,jina kwa jino.
Hii ni kanuni ya asili.
Huyo beberu anayetumia kodi za waafrika wa Zimbabwe kutembelea magari ya kifahari na mishahara na maraupurupu kibao asifikiri ni jambo la kifaharu kujilimbikizia Mali na madaraka kwa damu za Wazambia waliolipigania taifa lao kwa miaka mingi.
Tundu Lisu amelipigania Taifa hili kwa muda Mrefu sana.

Kuna mabeberu wa ndani ya Afrika wanaokula vinono vya nchi na kudhulumu kodi za wananchi kwa kujinufaisha na ufahari na umaarufu huku wakihamasisha wenzao waliolala wodini kwa ajili ya matibabu wauawe.

Kuna Chizi mmoja nilimuona kule Burundi akisema kuwa eti Lisu yupo Ubeligiji kwa maslahi ya wazingu.

Hivi waliompiga risasi ni wazungu au ni waafrika wenzetu kwenye roho mbaya kuliko shetani?

Yesu Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana,Masihi alitufundisha kuwa Jirani yako ni MTU yeyote atakayekuokoa kwenye shida yako.
Alitoa mfano wa Msamaria Mwema aliyemuoko Myahudi aliyepigwa na Watu wasiojulikana. Asomaye Biblia na afahamu.
Yahudi alipigwa na watu wasiojulikana nusura afe .
Ndugu zake aliowategemea kuwa wangemsaidia walipita na kuendelea na shughuli zao. Hata Makuhani ( Viongozi feki wa dini) nao walipita bila kumsaidia. Hata Hivyo Yule Yahudi alisaidia na Msamaria (mtu wa nchi za jirani).

Mfano wa Msamaria Mwema umetokea kwa Lisu.
Lisu alipigwa na manyang'anyi yasiyojulikana nusura afe. Viongozi na wabunge wenzake walipita kando . Hata viongozi wa dini hawakupaza sauti kutetea uhai wa Lisu.
Viongozi wa vyombo vya dola Walimpiga marufuku Mungu kuja kumuokoa Lisu kupitia maombi. Pray for Lisu. Mungu alikatazwa kuitwa kuja kumponya Lisu.
Hakiaka dunia hii ina Viongozi wenye kuhisi kuwa wana nguvu kuliko hata Mungu muumba .
Hili la Mungu kupigwa marufuku kuja kumponya Lisu kupitia maombi tumwachie Mungu Mwenyewe.

Tusikubali kujenga Taifa lenye watu wanaochonganisha Watanzania wa kundi moja kuuana au kuua kundi Lingine.

Ni vema Video Clips za Kila beberu mweusi anayehamasisha watu wauawe zihifadhiwe na ikiwezekana itumwe kila mahali na viongozi wa dini wa kweli (sio manabii wa uongo kama wale waliokuwepo enzi za Nabii Elia ) wazione ili Maombi yafanyike ya kuwashusha chini hao watu wanaolitia unajisi Taifa letu kwa damu za watu wasio na hatia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pascal ni kweli aliyasema maneno hayo. Lakini sasa Mungu Muumba Mbingu na Nchi amemuonyesha wazi kuwa Yu kinyume cha mipango ya kuondoa uhai wa wasio na hatia. Jinsi Mungu alivyodeal na Mfalme Daudi katika suala Uria Mhiti, ndivyo afanyavyo hata leo. Huwakemea kwa miujiza yake mikuu, ni Imani yangu kuwa amejifunza Jambo.
Sasa sote wana JF tunyanyue sauti zetu, na kumwambia Rais kwamba hatutaki Ikulu yetu itumike kwa mipango miovu dhidi ya mwananchi yeyote. Hivyo amwondoe Waitara. Waitara must Go!!!
Why double standards?. Kama kwa mmoja ameachiwa Mungu, why kwa nwingine aachiwe binaadamu?. Ukiamua kumwachia Mungu, mwachie Mungu yote, usimchagulie, wala usilete hadithi za Mfalme Daudi hapa, jee wajua kuwa mke wa Uria ndiye mama yake Mfalme Suleiman?.

Mimi nendelea kusisitiza, kwenye issue ya Lissu, tuache ramli chonganishi.

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
P
 
Why double standards?. Kama kwa mmoja ameachiwa Mungu, why kwa nwingine aachiwe binaadamu?. Ukiamua kumwachia Mungu, mwachie Mungu yote, usimchagulie, wala usilete hadithi za Mfalme Daudi hapa, jee wajua kuwa mke wa Uria ndiye mama yake Mfalme Suleiman?.

Mimi nendelea kusisitiza, kwenye issue ya Lissu, tuache ramli chonganishi.

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
P
Hakuna ramli, ninachosema ni kuwa Kuna watu walipanga kuitoa roho ya Lisu, Mwenyezi Mungu ambaye roho za wanadamu wote zi mikononi mwake akaibatilisha mipango yao kwa .muujiza, Sasa anaibuka Waitara waziwazi kusema mipango yao ni "kutanguliza" watu ili watekeleze maendeleo yenye dhana zao potofu. Haikubaliki. Waitara must Go!!!
Mhe Rais wetu ni wajibu wake kututhibitishia ukweli wa maneno ya Baba wa Tafa kwamba: "Ikulu ni Mahali Patakatifu"
Kwangu mimi hiyo unayoiita "Karma" Ni sehemu ya imani za kishirikina tu.
 
Great thinkers,

Leo ninawaomba jambo muhimu linalohusu uhai wa mwana JF mwenzetu: Tundu Lisu ulio hatarini.

Mtu aliyejipambanua kuyaweka maisha ya Lissu hatarini ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Wizara iliyo chini ya ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri Mwita Waitara amesikika wazi kwenye mitandao akihamasisha mipango ya "kumtanguliza mtu." Ukweli ni kuwa Waziri huyu anahamasisha mauaji ya Watanzania wasiokubaliana na mtazamo wa Serikali na sote tunajua Mtanzania namba moja asiyekubaliana na sera za Serikali hii hasa zinazosimamia maendeleo na haki za binadamu ni Tundu Lissu. Sasa Waitara anatamka wazi "kumtanguliza" bila kuwajibika!!!

Wana JF tumtake, si kumwomba Mhe Rais wetu mpendwa amwondoe Waitara Serikalini vinginevyo Serikali yake itaonekana wazi kuwa inapanga na kutekeleza matukio ya utekaji na mauaji ya Wananchi.

Ukweli ni kuwa Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa letu aliwahi kutuasa kuwa "Ikulu ni mahali Patakatifu" hivyo hatutegemei pawe mahali pa kupanga "kuwachinja" Watanzania wenzetu kwa sababu yoyote ile.

Mhe Rais huwa anapita humu, wana JF tuko zaidi ya laki tano, hivyo anapaswa kutusikiliza, tukiungana wote kwa pamoja tutasikilizwa. Waitara Must Go.
No democracy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatibiwa operation ya 23
Huyo unaemtetea unajua anachokifanya sasa huko ubeligiji?????Lissu kwa sasa yupo mkwenye mkakati mzito sana na watu wenye MASLAHI YAO NCHINI TANZANIA,leo hii tunaambiwa kachangiwa zawadi ya GARI NA WATANZANIA waishio belgium HIKI NI KITUKO CHA KARNE hao watanzania waliopo GIZANI HAPO BELGIUM tunawaslimia sana.....A
seme tu ukweli hilo gari kapewa na watu alio nao kwenye mkakati maalumu wa wao kumfadhili kwa hali na mali achukue URAIS wa nchi hii.....
KILA SIKU TUNASEMA HUMU LISSU hatibiwi hapo BELGIUM anatuadahaa tu sisi WATANZANIA kuna uchafu mkubwa sana HUYU JAMAA ANAANDALIWA KUULETA NCHINI TANZANIA kulinda MASLAHI YA HAO WAP.U.UZI wenzio
NA HATUTAKUBALI HUU UPUUZI WAKE.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great thinkers,

Leo ninawaomba jambo muhimu linalohusu uhai wa mwana JF mwenzetu: Tundu Lisu ulio hatarini.

Mtu aliyejipambanua kuyaweka maisha ya Lissu hatarini ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Wizara iliyo chini ya ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri Mwita Waitara amesikika wazi kwenye mitandao akihamasisha mipango ya "kumtanguliza mtu." Ukweli ni kuwa Waziri huyu anahamasisha mauaji ya Watanzania wasiokubaliana na mtazamo wa Serikali na sote tunajua Mtanzania namba moja asiyekubaliana na sera za Serikali hii hasa zinazosimamia maendeleo na haki za binadamu ni Tundu Lissu. Sasa Waitara anatamka wazi "kumtanguliza" bila kuwajibika!!!

Wana JF tumtake, si kumwomba Mhe Rais wetu mpendwa amwondoe Waitara Serikalini vinginevyo Serikali yake itaonekana wazi kuwa inapanga na kutekeleza matukio ya utekaji na mauaji ya Wananchi.

Ukweli ni kuwa Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa letu aliwahi kutuasa kuwa "Ikulu ni mahali Patakatifu" hivyo hatutegemei pawe mahali pa kupanga "kuwachinja" Watanzania wenzetu kwa sababu yoyote ile.

Mhe Rais huwa anapita humu, wana JF tuko zaidi ya laki tano, hivyo anapaswa kutusikiliza, tukiungana wote kwa pamoja tutasikilizwa. Waitara Must Go.
Ndg yangu mauaji mengi ya raia wasio na hatia hufanywa na serikali ndio maana unaona kauli za kina Waitara hata mamlaka yake ya uteuzi haikushtuka na kauli hiyo kwa sababu ni mchezo unaochezwa na hao hao serikali
 
Nina mashaka na Jiwe kukubali rai yako, kwani Waitara anaƴasema hayo kwa kuwa yanamfurahisha boss wake!

Kama msimamo wa Jiwe ungekuwa kinyume na tamko la Waitara, mteule huyu asingeweza kufungua mdomo na kutamka kuondoa uhai wa TL wazi wazi bila hofu!

Kwa kuwa tumemujua nia yake tuweke kumbukumbu, ili mda muafaka ukifika Waitara na kundi lake wapelekwe mbele ya sheria!
Hata Jerry Muro aliwahi kusema kuwa Lissu alipaswa kuuawa
 
Great thinkers,

Leo ninawaomba jambo muhimu linalohusu uhai wa mwana JF mwenzetu: Tundu Lisu ulio hatarini.

Mtu aliyejipambanua kuyaweka maisha ya Lissu hatarini ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Wizara iliyo chini ya ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri Mwita Waitara amesikika wazi kwenye mitandao akihamasisha mipango ya "kumtanguliza mtu." Ukweli ni kuwa Waziri huyu anahamasisha mauaji ya Watanzania wasiokubaliana na mtazamo wa Serikali na sote tunajua Mtanzania namba moja asiyekubaliana na sera za Serikali hii hasa zinazosimamia maendeleo na haki za binadamu ni Tundu Lissu. Sasa Waitara anatamka wazi "kumtanguliza" bila kuwajibika!!!

Wana JF tumtake, si kumwomba Mhe Rais wetu mpendwa amwondoe Waitara Serikalini vinginevyo Serikali yake itaonekana wazi kuwa inapanga na kutekeleza matukio ya utekaji na mauaji ya Wananchi.

Ukweli ni kuwa Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa letu aliwahi kutuasa kuwa "Ikulu ni mahali Patakatifu" hivyo hatutegemei pawe mahali pa kupanga "kuwachinja" Watanzania wenzetu kwa sababu yoyote ile.

Mhe Rais huwa anapita humu, wana JF tuko zaidi ya laki tano, hivyo anapaswa kutusikiliza, tukiungana wote kwa pamoja tutasikilizwa. Waitara Must Go.
Nakuunga mkono 100 pia kauli ya waitara ishamuweka kwenye wanted list ya kimahakama kama sehemu ya ushahidi muhimu dhidi ya waovu wote wa serkali Hii tayari tunamwangalia kwa jicho la pekee yeye bashite nk ni swala la muda
 
Huyo unaemtetea unajua anachokifanya sasa huko ubeligiji?????Lissu kwa sasa yupo mkwenye mkakati mzito sana na watu wenye MASLAHI YAO NCHINI TANZANIA,leo hii tunaambiwa kachangiwa zawadi ya GARI NA WATANZANIA waishio belgium HIKI NI KITUKO CHA KARNE hao watanzania waliopo GIZANI HAPO BELGIUM tunawaslimia sana.....A
seme tu ukweli hilo gari kapewa na watu alio nao kwenye mkakati maalumu wa wao kumfadhili kwa hali na mali achukue URAIS wa nchi hii.....
KILA SIKU TUNASEMA HUMU LISSU hatibiwi hapo BELGIUM anatuadahaa tu sisi WATANZANIA kuna uchafu mkubwa sana HUYU JAMAA ANAANDALIWA KUULETA NCHINI TANZANIA kulinda MASLAHI YA HAO WAP.U.UZI wenzio
NA HATUTAKUBALI HUU UPUUZI WAKE.......
Be aware of false knowledge bcoz it is more dangerous than ignorance. Umekarr fake news ya mmawia na unakuja kuijengea Hoja hapa.Hakuna gari alilopewa Lisu. Sijui umekwama wapi kiasi kushindwa kufuatilia ishu ndogo sana kama hii.Mwenzio kacheza na Adobe Photoshop na kuitungia story hiyo picha. We kama great thinker, umehoji source ya hiyo habari?Mkuu jf sasa 98% ya habari ya hili jukwaa ni propaganda tupu.Take care.
20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hata Jerry Muro aliwahi kusema kuwa Lissu alipaswa kuuawa
Good tunakusanya ushahidi Kwahiyo

1.bashite
2.mulo
3.wai tra
4.gufu


hawa inawapasa kuishi maisha wanayopitia wengine Leo ni swala la muda tu gwaride litaanza kuhesabiwa kutokea nyuma c mbele
 
Ndg yangu mauaji mengi ya raia wasio na hatia hufanywa na serikali ndio maana unaona kauli za kina Waitara hata mamlaka yake ya uteuzi haikushtuka na kauli hiyo kwa sababu ni mchezo unaochezwa na hao hao serikali
Inawezekana unalosema likawa sahihi, lakini hii serikali imechaguliwa na watu ili iwatumikie si vinginevyo. Kwa kuwa tumechagua njia ya kidemokrasia kujiongoza, Ni wajibu wetu kuiambia Serikali yetu kuacha kuitumia Ikulu yetu kwa mipango miovu dhidi ya Wananchi. Na kwa sababu tuliyemsikia hadharani akihamasisha mipango ya "kutanguliza" wengine ni Mwita Waitara, sote kwa pamoja Tumwambie Rais kwamba Hakuna namna isipokuwa Waitara must Go!!!
 
Inawezekana unalosema likawa sahihi, lakini hii serikali imechaguliwa na watu ili iwatumikie si vinginevyo. Kwa kuwa tumechagua njia ya kidemokrasia kujiongoza, Ni wajibu wetu kuiambia Serikali yetu kuacha kuitumia Ikulu yetu kwa mipango miovu dhidi ya Wananchi. Na kwa sababu tuliyemsikia hadharani akihamasisha mipango ya "kutanguliza" wengine ni Mwita Waitara, sote kwa pamoja Tumwambie Rais kwamba Hakuna namna isipokuwa Waitara must Go!!!
Ni kweli mkuu ila kumbuka nchi kwa sasa inaongozwa kidikteta sheria kufuatwa inahitaji hisani binafsi ya rais.

Kwa sasa hata ile haki ya kukusanyana na kutoa maoni yenu ya moyoni kupitia makongamano mbalimbali ya haki za binadamu na mikutano ya vyama vya siasa ni marufuku labda iwe ya kusifu juhudi za serikali.

Halafu kumbuka Magufuli pia aliwahi kusema kuwa "nashangaa sana kuona wasaliti wakiendelea kusurvive hadi sasa" hii ilikuwa ni ndefu kidogo nimeifupisha tu, hii aliitoa baada ya Lissu kuikosoa ripoti ya madini maarufu makinikia na kuiita uchafu wa kitaaluma, kweli baada ya muda mfupi Lissu alipigwa risasi.

Kwa mazingira haya inahitajika nguvu kubwa ya umma kuwashinikiza kutenda kadri ya katiba na sheria za nchi hii zinavyotaka, najua wananchi wakiamua hakuna mtawala anaweza kubaki madarakani.
 
Kesi ya nyani unampelekea ngedere !
Usijali mkuu, tusaidiane tu kupaza sauti. Sisi hatukumchagua Waitara, ameteuliwa na Rais ambaye amemweka katika Ofisi ambayo yeye ndiye Mkuu. Sasa huyu Waitara hawezi kuwafanya watu kuwa sawa na kuku wa krismasi, wa kuchinja kwa muda anaotaka yeye. So saidia kupaza sauti Hadi imfikie Mhe. Rais wetu kuwa: Waitara must Go!!!
 
Back
Top Bottom