Elections 2010 Wana JF Tumeiangusha CHADEMA, tumewaangusha watanzania, tumemsaliti Dr Slaa

Reyes

Senior Member
Sep 1, 2010
188
2
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema iliongoza kwa kura.

Dr Slaa alipata kura kiduchu sana maeneo ambayo chadema iliweka mgombea dhaifu ngazi ya Ubunge

Hali ilikuwa mbaya zaidi maeneo ambayo Chadema iliweka wagombea dhaifu wa Ubunge na Udiwani ni kukosa timu sahihi ya kampeni.

Wagombea Ubunge kama Thomas Nyimbo, Shitambala, Regia nk licha ya uwezo wao lakini katika baadhi ya kata waliangushwa na wagombea wasiouzika na wasiona hoja wa Udiwani.

Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua kuwa sisi wana JF tunahusika kwani wengi wetu tungeweza kujitokeza kwenda kugombea na kuongeza kura kwa Chadema. badala ya kushabikia humu JF

Ni wakati wa kuamua sasa, Mshawishi na mwenzako tujitokeze. tutengeneze network, tufanye training za stage performance za kutosha, Tuandae wagombea serekali za mitaa na Udiwani kwenye kata zetu ili uchaguzi ujao tuweze kusaidia harakati.

Suala la kuiangamiza CCM haiwezi kufanya na Mbowe peke yake au Dr Slaa pekee, ni kazi yetu sote hasa vijana

Hima tuamke, tushikamane, tutambue wajibu wetu kwa Taifa hili

Mimi nimetangaza nia Isimani Iringa na naanza maandalizi mapemaaaaaa

2015 peopleeeeeeeezzzzzzzzz
 
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.
 
Kama ukabila basi chadema chama cha wasukuma maana wamepata wabunge wengi kule na hata myika ni Msukuma

kama ni Ujimbo Chadema haiwezi kuachana na hiyo sera kwani ndiyo ambayo tunaamini itamkomboa mtanzania

kama ni Udini sijawahi sikia wala kuona Chadema wakifanya mkutano msikitini au kanisani. Ni bahati mbaya tuu CUF imetawala Zbar na Pwani na kuifanya chadema ishindwe ku penetrate maeneo hayo lakini mkakati kabambe wa kuingia maeneo ya Pwani unaandaliwa

Acha umbea wewe mtoto
 
Kama ukabila basi chadema chama cha wasukuma maana wamepata wabunge wengi kule na hata myika ni Msukuma

kama ni Ujimbo Chadema haiwezi kuachana na hiyo sera kwani ndiyo ambayo tunaamini itamkomboa mtanzania

kama ni Udini sijawahi sikia wala kuona Chadema wakifanya mkutano msikitini au kanisani. Ni bahati mbaya tuu CUF imetawala Zbar na Pwani na kuifanya chadema ishindwe ku penetrate maeneo hayo lakini mkakati kabambe wa kuingia maeneo ya Pwani unaandaliwa

Acha umbea wewe mtoto
Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!
 
Inabidi tujipange upya na kwenda vijijini kabisa. Hata hivyo inabidi tujisafishe na ile dhana ya kuonekana tuna chembechembe za udini ambazo CCM inazitumia dhidi ya CUF-Uislamu na CHADEMA-Ukristo.
 
Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!

No comment jina lako linasadifu unayoongea
 
Tumeiangusha CHADEMA ni kweli, tumewangusha wa tanzania si kweli


wayanzania wako juu na wamesimama imara kukataa na kupinga udini na njia yoyote kuwagawa kama chadema kwa kupitia viongozi wake walio wengi wakinadi
 
Kesho nitakuwa kinondoni kuchukua kadi ya CHADEMA. Tutaonana 2015. Damu bado mbichi,
 
Naanza mikakati ya kugombea udiwani 2015 kata ya Nduli Jimbo la isimani kwa kupitia CHADEMA
 
Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!

mimi ni muislamu swafiii lakini sijaona chembechembe za udini chadema, nitagombea ubunge isimani iringa ntaona kama chama kitanikataa sababu ya dini yangu.
 
Mimi binafsi nashangaa sana kusikia hoja za udini na ukabila ndali ya Chadema. Jamani kitu chochote lazima kiwe na mwanzilishi, lazima tukubali hilo. Eti kwa kuwa Chadema kilianzishwa na watu wa kaskazini basi ni chama cha ukabila, nadhani sio sahihi. Kuna wanachama nchi nzima na wengine wameshinda viti vya ubunge na udiwani lakini hawatoki huko. Nafikiri tunahitaji kubadilika na kuachana na mawazo mgando kama haya.

Nakubaliana na mwanzilishi wa mada hii kuwa tunahitaji kuwa na mikakati ya uhakika katika kujiandaa na changuzi zijazo. Ukisema suala la dini basi tungeweza kusema sisiem ndo ina udini. Angalia kuanzia Z'bar na hata bara raisi na makamu wake wote ni waislamu. Je, tuseme sisiem ina udini? La hasha!! Ninachoamini ni kuwa kiongozi yeyote kuwa na dini yake haimaanishi yeye ni mdini. Hata mimi nina dini yangu, kwa hiyo nikishika uongozi sitegemei kuacha dini yangu. Nafikiri tunahitaji kuwa makini tunapotaka kuzungumzia udini.

Mimi naanza kutangaza nia kabisa sasa hivi kugombea ubunge Mbinga Magharibi kupitia Chadema. Nitafurahi kushiriki katika mikakati mbali mbali ya kujiandaa ili kuweza kutimiza hazima hiyo.

Mungu ibariki Tanzania
 
Hvi unajua maana ya udini,ukabila na ujimbo?naamini fikra zako mgango,unaamini usichokiona wala kukijua!tafakari upya,soma mada na hoja mbalimbali ujifunze,mwonesha njia daima amepitia,hao waliokueleza udini,ukabila na ujimbo sio wanachadema,waulize vizuri na urudi upya!
 
Pia kuongezea ni kurudisha akili kwa wale wote ambao wameoshwa akili(brain washed)kwamba pasipo ccm nchi haitakuwa na amani n.k. na hii ifanyike katika ngazi ya vijijini mashuleni na popote pale inapowezekana kwa kukemea maovu ya u ccm.

Huyo bwana mbea amekuwa sasa biashara ya kuleta mambo ya udini ukabila n.k matokeo ya ubunge yanakuumbua pia kama ni hivyo kesho tutakusikia ukicema nccr ni cha waha, cuf wapemba etc

Kama jina la mbea halikutoshi ungezea na jina la Mdini (mbaguzi)
 
kilicho iangusha CHADEMA sio wana JF au wagombea wake wala itikadi za mwelekeo wa chama:nono:

ila ni nec ya wachakachuaji

thats it!!!
 
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.

CCM nao wajitoe kwenye sera za ufamilia, uislam, na kutumia watanganyika masikini kupata kura kwani huu uchaguzi umeonesha ccm wanapata kura maeneo ya watu wasio na uelewa tu.
 
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.

Mods wa JF naomba watu kama mbea wanaoleta hoja za kipumbavu wafungiwe wanajaza nafasi tu hapa.
 
mtaji wa ccm umbumbumbu wa watanzania, na
ndo maana kutoa kwao elemu kunakuwa na mkwamo mkwamo

ili hali kwa watanzania iendele kuwa hivi:deadhorse:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom