Elections 2010 Wana JF Tumeiangusha CHADEMA, tumewaangusha watanzania, tumemsaliti Dr Slaa

Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.

Sawa kabisa mkuu, ccm is boaring but chadema watazidi ikiwa hawatafuata ushauri wako ambao umeutoa kwa gharama yako
 
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.

Udini: Kusema Chadema ni wadini ni kuwasingizia tu. CCM ndiyo wadini Namba 1

Ukabila: Wewe utakuwa mwehu tu. Wabunge wa Chadema wa sasa wanajibu hoja yako ya kijinga

Ujimbo: USA ambako wanafanya utawala wa majimbo umewazidi nini na nchi yako ya kifisadi.


Nimekusonya (sema tu hujasikia)
 
Kama ukabila basi chadema chama cha wasukuma maana wamepata wabunge wengi kule na hata myika ni Msukuma

kama ni Ujimbo Chadema haiwezi kuachana na hiyo sera kwani ndiyo ambayo tunaamini itamkomboa mtanzania

kama ni Udini sijawahi sikia wala kuona Chadema wakifanya mkutano msikitini au kanisani. Ni bahati mbaya tuu CUF imetawala Zbar na Pwani na kuifanya chadema ishindwe ku penetrate maeneo hayo lakini mkakati kabambe wa kuingia maeneo ya Pwani unaandaliwa

Acha umbea wewe mtoto

chadema mbali ya kufanyiwa ibada maalum makanisani imesababisha mpaka makanisa kufungwa siku ya uchaguzi ili waumini wakapige kura za chuki dhidi ya wagombea urais wenye majina yanayofanana na dini fulani!!!
Acha umbea wewe mtoto[/QUOTE]

 
Binafsi najipanga kupambana na Idd Azzan Kinondoni.Naamini 2015 hakuna cha zaidi ni Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeez poweeeeeeer[/QUO

yesu wangu!!! mimi narudi jimboni kwangu hai, kwa kweli anaekikaliaa kiti cha ubunge hapo ajitayarishe kuniachia 2015!!! uuuuuuiiii!!!! sitalala bwashee mpaka kielewekeee!!!!
 
chadema mbali ya kufanyiwa ibada maalum makanisani imesababisha mpaka makanisa kufungwa siku ya uchaguzi ili waumini wakapige kura za chuki dhidi ya wagombea urais wenye majina yanayofanana na dini fulani!!!
acha umbea wewe mtoto

[/quote]
kwa mtizamo wangu pia slaa kumchagua mgombea mwenza mbumbumbu ilikuwa ni dharau kwa wazanzibari na waislamu kwa ujumla. Upande wa pili giza totoro. Na hii si ishara nzuri kwa chama. Niliwahi kuamshwa usiku twende kanisani na ajenda kuu ilikuwa kupigia kura chadema. Ati dr. Slaa ndiye atakeyewatoa wana kondoo utumwani. Alaaaaaaaaaa kuuuuuuuumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nchi hii sio yetu sooooooote???????????????? Ebo?
 
[/quote]
kwa mtizamo wangu pia slaa kumchagua mgombea mwenza mbumbumbu ilikuwa ni dharau kwa wazanzibari na waislamu kwa ujumla. Upande wa pili giza totoro. Na hii si ishara nzuri kwa chama. Niliwahi kuamshwa usiku twende kanisani na ajenda kuu ilikuwa kupigia kura chadema. Ati dr. Slaa ndiye atakeyewatoa wana kondoo utumwani. Alaaaaaaaaaa kuuuuuuuumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!
Nchi hii sio yetu sooooooote???????????????? Ebo?
 
Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!

Wewe Mbea umekula maharage ya CCM unakuja kutuchafulia hewa kwenye jamvi letu, watu wame amka sasa, Tanzania ya sasa tofauti na ya 2005, na bado ya 2015 ndo utatamani uhame nchi itakuwa balaa! Zamani viongozi wa dini walikuwa wanawasikiliza sana na kufuata ,maagizo viongozi wa kisiasa ya kuwahubiria waumini wao watafute ufalme wa mbinguni tu haya ya duniani yanapita! Wamekuja kugundua ghilba zao kwa sababu waumini na nchi kwa ujumla inakuwa masikini huku viongozi wa kisiasa wakitajirika kwa muda mfupi! Wamegundua rasilimali za nchi Mungu aliziweka makusudi katika nchi husika ili ziwasaidie wananchi wote! Lakini inakuwa wachache ndo wanao faidika!

Wameamua kubadili staili mfumo wa mahubiri toka ule wa kikoloni na kuwa wa kisasa-kila muumini anawajibika kikamilifu kwenye shughuli za kitetea, kuilinda na kuijenga nchi yake! Hivyo viongozi wa dini kuruhusu waumini wakapige kura siku ya jumapili siyo dhambi. Ujinga wa kuhusisha alama (+) plus na dini ni upumbavu wa hali ya chini sana, na inaonesha ni kiwango kidogo kiasi gani ulicho nacho cha uelewa, kwa hili sina comment kwa sababu uelewa mdogo ulionao.
 
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema iliongoza kwa kura.

Dr Slaa alipata kura kiduchu sana maeneo ambayo chadema iliweka mgombea dhaifu ngazi ya Ubunge

Hali ilikuwa mbaya zaidi maeneo ambayo Chadema iliweka wagombea dhaifu wa Ubunge na Udiwani ni kukosa timu sahihi ya kampeni.

Wagombea Ubunge kama Thomas Nyimbo, Shitambala, Regia nk licha ya uwezo wao lakini katika baadhi ya kata waliangushwa na wagombea wasiouzika na wasiona hoja wa Udiwani.

Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua kuwa sisi wana JF tunahusika kwani wengi wetu tungeweza kujitokeza kwenda kugombea na kuongeza kura kwa Chadema. badala ya kushabikia humu JF

Ni wakati wa kuamua sasa, Mshawishi na mwenzako tujitokeze. tutengeneze network, tufanye training za stage performance za kutosha, Tuandae wagombea serekali za mitaa na Udiwani kwenye kata zetu ili uchaguzi ujao tuweze kusaidia harakati.

Suala la kuiangamiza CCM haiwezi kufanya na Mbowe peke yake au Dr Slaa pekee, ni kazi yetu sote hasa vijana

Hima tuamke, tushikamane, tutambue wajibu wetu kwa Taifa hili

Mimi nimetangaza nia Isimani Iringa na naanza maandalizi mapemaaaaaa

2015 peopleeeeeeeezzzzzzzzz

CCM nguli tutakuwa tumekufaaaa? ngoja bomu lenu spika lilipuke ndo mtajua pipoooooooozzzzzzzzzzzz au mazezeeeeeetaaaaaaaaaaaaaaa
 

kwa mtizamo wangu pia slaa kumchagua mgombea mwenza mbumbumbu ilikuwa ni dharau kwa wazanzibari na waislamu kwa ujumla. Upande wa pili giza totoro. Na hii si ishara nzuri kwa chama. Niliwahi kuamshwa usiku twende kanisani na ajenda kuu ilikuwa kupigia kura chadema. Ati dr. Slaa ndiye atakeyewatoa wana kondoo utumwani. Alaaaaaaaaaa kuuuuuuuumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!
Nchi hii sio yetu sooooooote???????????????? Ebo?
[/QUOTE]

pole kwa kukatishwa usingiziiiiiiii muongo wa sera afa kesho...... watabaki watanzania wa ukweli wanaojali maslahi ya watanzania na sera za kutekelezeka
 
Udini: Kusema Chadema ni wadini ni kuwasingizia tu. CCM ndiyo wadini Namba 1

Ukabila: Wewe utakuwa mwehu tu. Wabunge wa Chadema wa sasa wanajibu hoja yako ya kijinga

Ujimbo: USA ambako wanafanya utawala wa majimbo umewazidi nini na nchi yako ya kifisadi.


Nimekusonya (sema tu hujasikia)

CHADEMA ni zaidi ya ukabila, ufamilia kabisa, vijana wanapatikana katika familia moja, Rozi kamili, Christina Lisu ............. huu si ufamiliaaaaaaa au Wana JF ambapo mi si mmoja wenu kama ni tawi la CHADEMA, CCM daima
....................................
 
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema iliongoza kwa kura.

Dr Slaa alipata kura kiduchu sana maeneo ambayo chadema iliweka mgombea dhaifu ngazi ya Ubunge

Hali ilikuwa mbaya zaidi maeneo ambayo Chadema iliweka wagombea dhaifu wa Ubunge na Udiwani ni kukosa timu sahihi ya kampeni.

Wagombea Ubunge kama Thomas Nyimbo, Shitambala, Regia nk licha ya uwezo wao lakini katika baadhi ya kata waliangushwa na wagombea wasiouzika na wasiona hoja wa Udiwani.

Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua kuwa sisi wana JF tunahusika kwani wengi wetu tungeweza kujitokeza kwenda kugombea na kuongeza kura kwa Chadema. badala ya kushabikia humu JF

Ni wakati wa kuamua sasa, Mshawishi na mwenzako tujitokeze. tutengeneze network, tufanye training za stage performance za kutosha, Tuandae wagombea serekali za mitaa na Udiwani kwenye kata zetu ili uchaguzi ujao tuweze kusaidia harakati.

Suala la kuiangamiza CCM haiwezi kufanya na Mbowe peke yake au Dr Slaa pekee, ni kazi yetu sote hasa vijana

Hima tuamke, tushikamane, tutambue wajibu wetu kwa Taifa hili

Mimi nimetangaza nia Isimani Iringa na naanza maandalizi mapemaaaaaa

2015 peopleeeeeeeezzzzzzzzz


Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!



Ni bora mkawa wakweli kuliko kuendelea kubisha na kudai kuwa chadema iliibiwa kura, wenyewe wanasema ccm imechakachua matokeo. Mkijipanga upya na mkaeneza matawi ya chama chenu hadi vijijini (remote areas) mnaweza mkashinda, mking'ang'ani mijini itaendelea kula kwenu kila uchaguzi
 
sijawahi kuipa kura ccm na kamwe sitofanya hivyo. chadema ni chama mbadala kama alivyotabiri mwalimu Nyerere:nono::smile-big:
 
ili tuungane inabidi chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.

naomba nifafanulie juu ya udini au ukabila wa chadema uko wapi au ni mazingira gani yanayokuonyesha kuwa kuna udini? Au kwa vile dr slaa alikuwa padre.huwezi ukasema kuna udini au ukabila kama wewe si mdini?
 
inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura bob silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob silaa aingie ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama tamwa,tgnp n.k wote walikuwa wakimpigia kapu bob silaa,wewe ulikuwa wapi! Au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!

huo si udini ni uzalendo na akuwaambia waumini wakamchague slaa .kakobe anaelewa wajibu wa kuchagua kiongozi maana hata vitabu vitakatifu vimeandika kuhusu mamlaka hivyo kakobe alitumia uzalendo na anajua kabisa wanachichiem walipanga muda mfupi ili watu washindwe kupiga kura makanisa mengi ibada zao zinaisha saa nane na hili kabobe aliliona .kwanini wasingepanga kupiga kura cku ya ijumaa?
 
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.
Chadema hatuhitaji watu wenye element za ukabila, udini kama wewe. Lakini tunahitaji watu walio na focus ya ujimbo na uchungu wa maendeleo ya majimbo yao. Hata hivyo utaona sera ya majimbo ni ya ccm kwani wametenga majimbo kikabila na Kidini. Chadema inahitaji kuiboresha tu.
 
Inaonyesha wewe bado kinda kimawazo hata kufikiri kidogo washindwa!Kakobe kafunga kanisa siku ya jumapili na aliwaamuru wafuasi wake wakampigie kura Bob Silaa,wakristo wote tanzania tulipewa amri ya kukesha usiku wa kuamkia 31/10/2010 kumuombea bob Silaa aingie Ikulu(inawezekana wewe si miongoni mwetu au huingii kanisani-utatengwa na usharika!,vyama vyote vinavyojiita vya kiraia ambazo nembo zao(logo) zinaherufi ya msalaba + kama Tamwa,TGNP n.k wote walikuwa wakimpigia kapu Bob Silaa,wewe ulikuwa wapi! au ni mmoja wao?

Unajua jina lako kwetu linamaanisha(Reyes-bushwomen) isije ikawa ni kweli!
Akili yako na jina lako vinakwenda sambamba. Ndio maana unaweza kuandika crap hapa. Rudisha fahamu na ondoa umbea hapa.
 
CHADEMA ni zaidi ya ukabila, ufamilia kabisa, vijana wanapatikana katika familia moja, Rozi kamili, Christina Lisu ............. huu si ufamiliaaaaaaa au Wana JF ambapo mi si mmoja wenu kama ni tawi la CHADEMA, CCM daima
....................................
Kisha upange foleni ya wakina January, Vita kawawa na mdogo wake wa kike, Sokoine, Mwinyi, Mkapa, Sita, etc etc............... kisha utuambie na hao ni wana chadema? Usijaribu kutupia nyumba yako ya vioo mawe!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom