Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano

Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic

Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa

Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi

Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao
 
Ndiyo ujue kuwa ulitakiwa kushukuru tu kwa kurudishiwa press card yako tu, hayo mengine uwaachie kina Katambi
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
FB_IMG_1595334876930.jpeg
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Hatimaye CV yako imefika TISS na Ikulu kwa malipo ya laki 1 tu, hongera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndiye Mjomba wa Magufuli aliyeshinda Kura za Maoni Kawe. Yupo GCLA(maabara ya Taifa) yeye ndo incharge, pale hamna mtu wa kumpinga akisema hold mzee ni hold hamna wa kukupa release hata uende wapi, anaishi masaki kwa sasa. Hata cheo alichonacho ni figisu-figisu.

#Wasifu:
Jina: Furaha Dominic Jacob
Kazaliwa: Chato Kagera
Shule: Chato Secondary School
Shule: Makongo High school
Chuo : DIT
Reseach: Technician at International Institute of Tropical Agriculture (IITA)

Na Kwa sasa anaishi Dar es salaam
Mtoto wa dada yake Rais MAGUFULI.View attachment 1512951

Khaaa ndo maana watu hawamfahamu..nimeudhika ghafla
K
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Unakubalije matokeo kwa Kusema CCM Ina wenyewe hicho ni kinyongo we kubali kwa moyo mmoja kuwa wenzako wameona hutoshi.
Umeisifia Sana CCM iweje Leo uipige vijembe hayo ndo matokeo ya demokrasia.
UMEIPENDA MWENYEWE
 
Mkuu Pascal Mayalla pole kwa matokeo na hongera kwa kujaribu. Juzi Jumamosi katika kipindi cha jicho letu katika Habari cha Star Tv ulitangaza kustaafu uandishi wa habari. hata hivyo nakuomba ubadili nia yako na kurejea katika kipindi husika. Nitafurahi kama utatushirikisha uzoefu ulioupata kwa kushiriki katika huu uchaguzi.
Na kweli kipindi cha uchaguzi ni fursa
Mana matukio nu mengi sana nchi nzima
Ahsante
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Mkuu, kila kitu kina sayansi yake inayoongoza. Usikate tamaa, ushubutu ni Jambo jema zaidi.
 
Back
Top Bottom