Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano
Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic
Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa
Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi
Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao
Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic
Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa
Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi
Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao