Wana jf nimewasili mpanda katavi....kunani?

mmteule

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,502
12,827
Ni kawaida yetu wana jf tunapofika eneo jipya kupeana hali halisi ya eneo husika,
nimewasili mpanda tangu jumatatu ya tar. 4/2,pamoja na majukumu mengine nitawapeni habari muhimu.

Mpanda iko mikoa ya nyanda za juu kusini lkn baada ya kuanzishwa kwa mkoa wa katavi sasa kigoma na katavi wanatengeneza kanda ya ziwa tanganyika.
Kutokea dsm mpaka mpanda ni umbali takribani km 1500 kwa barabara ukipitia moro,mikumi,iringa,mbeya, tunduma,laela,sumbawanga ndio unafika mpanda.
Hali ya hewa ni shwaari.
Knp nimeona wanyama wanene kuliko niliozoea kuwaona mikumi au serengeti...ukimwona twiga wa katavi utasimama tuuuu ni bonge la mnyama,sio kama vile vimbirikimo twiga unavyoviona mikumi aiseeee
kuna hoteli nzuri tu inaitwa lyamba lya mfipa
nafasi za kazi nilizikuta veta na tayari nimeziweka kwenye jukwaa lake.
Sehemu za kula ni shida sana sana,kuna tanganyika hotel lkn hadhi yake ni kama mama ntilie.....chafu sana
naendelea na majukumu ndani ya mji huu wana jf wenzangu mnipe donts za mji huu tafadali...... Na kujirusha wapi?
 
... Asante sana mkuu, kwa kutujuza mambo yanayoendelea hapo Mpanda. Tunakutakia majukumu mema na tunatarajia mambo mengi zaidi kutoka kwa wanaManda.
 
Ni kawaida yetu wana jf tunapofika eneo jipya kupeana hali halisi ya eneo husika,
nimewasili mpanda tangu jumatatu ya tar. 4/2,pamoja na majukumu mengine nitawapeni habari muhimu.

Mpanda iko mikoa ya nyanda za juu kusini lkn baada ya kuanzishwa kwa mkoa wa katavi sasa kigoma na katavi wanatengeneza kanda ya ziwa tanganyika.
Kutokea dsm mpaka mpanda ni umbali takribani km 1500 kwa barabara ukipitia moro,mikumi,iringa,mbeya, tunduma,laela,sumbawanga ndio unafika mpanda.
Hali ya hewa ni shwaari.
Knp nimeona wanyama wanene kuliko niliozoea kuwaona mikumi au serengeti...ukimwona twiga wa katavi utasimama tuuuu ni bonge la mnyama,sio kama vile vimbirikimo twiga unavyoviona mikumi aiseeee
kuna hoteli nzuri tu inaitwa lyamba lya mfipa
nafasi za kazi nilizikuta veta na tayari nimeziweka kwenye jukwaa lake.
Sehemu za kula ni shida sana sana,kuna tanganyika hotel lkn hadhi yake ni kama mama ntilie.....chafu sana
naendelea na majukumu ndani ya mji huu wana jf wenzangu mnipe donts za mji huu tafadali...... Na kujirusha wapi?

Mkuu mmteule, hongera sana kwa kuona "twiga extra lager"
Dont's za huko kama wewe ni mwanaume kwepa sana kutongoza wanawake hasa utakaodhania inawezekana ni wake za watu. Kama wewe ni mwanamke vivyo hivyo kwepa wale utakaodhani ni waume za watu. Nina kisa cha kukutahadharisha hivyo.

 
KBM nimekupata Mkuu
kiukweli huu Mkoa haukutakiwa kuwa sehemu ya kuishi kulingana na uzuri wa ardi yake.....ilitakiwa uwe agriculture zone, mining zone na utalii wa wanyama baaasi......nimetokwa na machozi ninapoona nyumba zinajengwa kwenye ardhi tajiri ya kilimo kama hiii aiseeee....halafu bado tunaomba misaaada ya vyakula!
mkoa una mvua za kutosha..... oooooh God!
 
Mkuu mmteule, hongera sana kwa kuona "twiga extra lager"
Dont's za huko kama wewe ni mwanaume kwepa sana kutongoza wanawake hasa utakaodhania inawezekana ni wake za watu. Kama wewe ni mwanamke vivyo hivyo kwepa wale utakaodhani ni waume za watu. Nina kisa cha kukutahadharisha hivyo.


hahahaaaaaaa naambiwa radi nje nje aisee.................mimi ni he mkuu! HAPA MPANDA kuna mtaaa wa FISI mambo kama KINO MAKABURINI aiseee.
 
Mkuu mmteule, hongera sana kwa kuona "twiga extra lager"
Dont's za huko kama wewe ni mwanaume kwepa sana kutongoza wanawake hasa utakaodhania inawezekana ni wake za watu. Kama wewe ni mwanamke vivyo hivyo kwepa wale utakaodhani ni waume za watu. Nina kisa cha kukutahadharisha hivyo.


hahahaaaaaaa naambiwa radi nje nje aisee.. Vipi twiga weupe, hujawaona?. hawa ndio moja ya vitu unique huko katavi
 
Ni kawaida yetu wana jf tunapofika eneo jipya kupeana hali halisi ya eneo husika,
nimewasili mpanda tangu jumatatu ya tar. 4/2,pamoja na majukumu mengine nitawapeni habari muhimu.

Mpanda iko mikoa ya nyanda za juu kusini lkn baada ya kuanzishwa kwa mkoa wa katavi sasa kigoma na katavi wanatengeneza kanda ya ziwa tanganyika.
Kutokea dsm mpaka mpanda ni umbali takribani km 1500 kwa barabara ukipitia moro,mikumi,iringa,mbeya, tunduma,laela,sumbawanga ndio unafika mpanda.
Hali ya hewa ni shwaari.
Knp nimeona wanyama wanene kuliko niliozoea kuwaona mikumi au serengeti...ukimwona twiga wa katavi utasimama tuuuu ni bonge la mnyama,sio kama vile vimbirikimo twiga unavyoviona mikumi aiseeee
kuna hoteli nzuri tu inaitwa lyamba lya mfipa
nafasi za kazi nilizikuta veta na tayari nimeziweka kwenye jukwaa lake.
Sehemu za kula ni shida sana sana,kuna tanganyika hotel lkn hadhi yake ni kama mama ntilie.....chafu sana
naendelea na majukumu ndani ya mji huu wana jf wenzangu mnipe donts za mji huu tafadali...... Na kujirusha wapi?
Karibu sana mmteule katika mji wetu wa Mpanda,,,,,,,,,,,,,,,nitakutafuta siku nikija hapo mjini maana nipo huku kijijini Mishamo bize na kilimo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mmteule, hongera sana kwa kuona "twiga extra lager"
Dont's za huko kama wewe ni mwanaume kwepa sana kutongoza wanawake hasa utakaodhania inawezekana ni wake za watu. Kama wewe ni mwanamke vivyo hivyo kwepa wale utakaodhani ni waume za watu. Nina kisa cha kukutahadharisha hivyo.


Isije kuwa tatizo la mawani yake


the-fattest-giraffe-in-the-world.jpg
 
Wakazi wa mpanda wengi wenu mna roho mbayaa hivi shida ni nini?..au umasikini na ushamba uliochanganyika na ujinga
Mkuu Huo Mkoa kwa sasa una Mchanganyiko maaalumu
WAHUTU hawa ndio hujiita WAHA wakifika Mpanda yaani hawa viumbe ni SUMU, JANGILI, ROHO MBAYA, WEZI, WAFITINI nk
WACONGOMAN hawa wao hujiiita WABENDE au WANYAKAREMA ndugu zake na Mhe. AYESH mbunge wa Sumbawanga.
WATUTSI hawa wakishafika hapo hujiita Wahaya na WANYAMBO hawa wapo Wengi sana Serikalini wameshika nyadhifa muhimu na Kagame wanampa taarifa wapendavyo.
WAZAMBIA ambao wenyewe wakiingia Tanzania hujiita Wamambwe, majina yao yanaanzia HERUFI ...Si...., yaaani SIMKOKO, SICHWALE, SIWALE nk.
Kutokana na Hasira za Uvamizi huuu holela wenyeji wengi wa Mpanda yaaani WAFIPA, WABENDE, WANYAKAREMA, WARUIRA & WAKONONGO kila mmoja hamwamini mwenzake, Wahutu na Watutsi bado Wana Vinyongo walivyotoka navyo huko kwao wakati wa Machafuko ya mwaka 1972 na 1994.
Anyway Mkoa ule siyo pa kuishi pana fitna sana.
 
Mkuu Huo Mkoa kwa sasa una Mchanganyiko maaalumu
WAHUTU hawa ndio hujiita WAHA wakifika Mpanda yaani hawa viumbe ni SUMU, JANGILI, ROHO MBAYA, WEZI, WAFITINI nk
WACONGOMAN hawa wao hujiiita WABENDE au WANYAKAREMA ndugu zake na Mhe. AYESH mbunge wa Sumbawanga.
WATUTSI hawa wakishafika hapo hujiita Wahaya na WANYAMBO hawa wapo Wengi sana Serikalini wameshika nyadhifa muhimu na Kagame wanampa taarifa wapendavyo.
WAZAMBIA ambao wenyewe wakiingia Tanzania hujiita Wamambwe, majina yao yanaanzia HERUFI ...Si...., yaaani SIMKOKO, SICHWALE, SIWALE nk.
Kutokana na Hasira za Uvamizi huuu holela wenyeji wengi wa Mpanda yaaani WAFIPA, WABENDE, WANYAKAREMA, WARUIRA & WAKONONGO kila mmoja hamwamini mwenzake, Wahutu na Watutsi bado Wana Vinyongo walivyotoka navyo huko kwao wakati wa Machafuko ya mwaka 1972 na 1994.
Anyway Mkoa ule siyo pa kuishi pana fitna sana.

Ulishaondoka Mpanda
 
Mkuu Huo Mkoa kwa sasa una Mchanganyiko maaalumu
WAHUTU hawa ndio hujiita WAHA wakifika Mpanda yaani hawa viumbe ni SUMU, JANGILI, ROHO MBAYA, WEZI, WAFITINI nk
WACONGOMAN hawa wao hujiiita WABENDE au WANYAKAREMA ndugu zake na Mhe. AYESH mbunge wa Sumbawanga.
WATUTSI hawa wakishafika hapo hujiita Wahaya na WANYAMBO hawa wapo Wengi sana Serikalini wameshika nyadhifa muhimu na Kagame wanampa taarifa wapendavyo.
WAZAMBIA ambao wenyewe wakiingia Tanzania hujiita Wamambwe, majina yao yanaanzia HERUFI ...Si...., yaaani SIMKOKO, SICHWALE, SIWALE nk.
Kutokana na Hasira za Uvamizi huuu holela wenyeji wengi wa Mpanda yaaani WAFIPA, WABENDE, WANYAKAREMA, WARUIRA & WAKONONGO kila mmoja hamwamini mwenzake, Wahutu na Watutsi bado Wana Vinyongo walivyotoka navyo huko kwao wakati wa Machafuko ya mwaka 1972 na 1994.
Anyway Mkoa ule siyo pa kuishi pana fitna sana.
ahsante mkuu umeeleza vizuri sana..nadhani wale wanaokuja mpanda kuzitafuta
 
Back
Top Bottom