Wana JF nijuzeni hili pls

Goheki

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
448
387
Nimekuwa ni kijiuliza sheria/kanuni au taratibu za kuwapata wabunge wa viti maalumu kwa kuwa idadi yao inategemea wingi wa wabunge wa kuchagulia kutoka chama fulani ndio idadi kamili itakayotakia,je chama kinapopoteza idadi ya wabunge wa kuchagulia nini kinatakiwa kifanyike kwa hicho chama?je kilichoongeza baada ya uchaguzi mdogo nao wanapata faida ipi kwa nafasi hiyo pia?
 
Back
Top Bottom