KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Kwa furaha niliyonayo baada ya vijana kutupatia Raha ya kuingia nusu fainali, Naomba kuwatakia usiku mwema na wikiend njema.
Pamoja na kusherehekea ushindi naomba tuwe na kiasi katika mambo yote tutakayokenda kufanya.
All the best
Pamoja na kusherehekea ushindi naomba tuwe na kiasi katika mambo yote tutakayokenda kufanya.
All the best