Elections 2010 Wana jf naomba radhi kwa hili la dr. Slaa

Mpiganaji tz

Member
Jul 22, 2010
21
0
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni
 
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

Ukombozi gani?
 
Ukombozi gani!!!! Kama hujui ni ukombozi upi tunaongelea, we endelea kuuchapa usingizi kila jamii ndondocha kama wewe hawakosagi.
 
Ukombozi wa kiuchumi na kimawazo.Tupo katika utumwa wa kiuchumi hali zetu duni na ujinga unaoletwa na woga wetu na mawazo finyu.Mkombozi wetu ni Dr.Slaaa.
Kuhusu akaunti,sioni kama ipo haja ya kufanya hivyo maana hakuwa anagombea kwa ajili ya mshiko,ni yale mapenzi aliyonayo kwa watanzania.Kufanya hivyo ni kumfanya kuwa anataka fedha kitu ambacho kama na pesa anazo na ndio maana alileta mabadiliko Karatu bila pesa ya serikali.
 
Mwana jf akiomba msamaha msmehe. Kuna facts hakuzijua juu ya Dr. Slaa na Chadema.
Mie nimeshamsamehe.
Ila akitaka kuchanga atumie 15710:yield::yield::yield::yield::yield::yield:
 
sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

kweli ulichemka ile mbaya, duh!!
 
broda mbona muoga hivi au mgeni humu .. kuwa na msimamo na kauli yako! .. ukiwa hivo kaka humu JF utaomba msamaha kila siku.. idea yako ya mchango ilikuwa nzuri.. wale waoga wa kuchangia lazima wa criticize hoja yako
 
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

red&bold ni mawazo ya kina Malaria Sugu na genge lake.

Dr. Slaa siyo Lyatonga.

Nimekusamehe
 
broda mbona muoga hivi au mgeni humu .. kuwa na msimamo na kauli yako! .. ukiwa hivo kaka humu JF utaomba msamaha kila siku.. idea yako ya mchango ilikuwa nzuri.. wale waoga wa kuchangia lazima wa criticize hoja yako

pumba
 
Nkoboiboi, umenipa faraja. Thanks alot! Tupo pamoja.mungu ibariki jf, mungu ibariki tz, mungu ibariki chadema, mungu azidi kuwabariki watz wote wenye mapenzi mema.
 

sometimes ya such a cunt , sio kila mtu atakuwa na mawazo uliyokuwa nayo wewe, JF hii ina watu mbalimbali wenye mawazo tofauti , soma nyakati kijana ! lafu nakumbuka kuna post ulisema bora ungezaliwa mbwa ulaya! "nikasema sijapata kuona mtu mwenye mawazo ya kushoto kama yako" now nakusuppport 100%
 
sometimes ya such a cunt , sio kila mtu atakuwa na mawazo uliyokuwa nayo wewe, JF hii ina watu mbalimbali wenye mawazo tofauti , soma nyakati kijana ! lafu nakumbuka kuna post ulisema bora ungezaliwa mbwa ulaya! "nikasema sijapata kuona mtu mwenye mawazo ya kushoto kama yako" now nakusuppport 100%

Mbwa(Mkapa)? Juha(Kikwete)? Baamedi(Makongolo)?

Kuna tofauti gani na mbwa wa ulaya??

Acha kuibwabwaja. Tangu umeingia hapa unalalama tu.

Angalia hapo juu kulia kuna button ya Log out ubofye kama huwezi kukaa jamvini bila kulalama.
 
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

Mt,

uko vizuri sana hiyo inaoonyesha kuwa unamtakia mapenzi mema DR. Slaa na Chadema yetu katika upambanaji, usivunijke moyo na baadhi ya majibu, tuendeleze mapambano mbele kwa mbele ktk kuichangia chama chetu kwa hali na mali. Keep it up!!!!!!!!!!
 
Dr Slaa hahitaji kuchangiwa. Chadema watapata ruzuku ya kuwawezesha kuishi. ila kama ni kuwajibika kama katibu mkuu ndio nafasi nzuri ya kukiimarisha chama.kuwajibika siyo bungeni tu au urais. walenge 2015
 
Dr Slaa anashauriwa atembelee Tanzania nzima tena, sio tu kuwashukuru wananchi walivyompokea vizuri wakati wa kampeni zake za u-Rais, bali kusimika chama cha Chadema at the grassroots level, ili ifikapo Oktoba 2015 Chadema washinde uchaguzi wa Rais na Wabunge. Kuisimika Chadema nchi nzima itachukua miaka hii minne hadi Novemba 2014. Kwa hiyo Chadema ni lazima kiwezeshwe kumudu gharama za kumsafirisha Dr Slaa pamoja na viongozi wengine

Kwa hiyo wazo la kumchangia Dr. Slaa liwe ni la kuchangia Chadema kiweze kumhudumia kiongozi huyu muhimu na wasaidizi wake.
 
@MT

wazo lako nizuri tu, ila kwa bahati mbaya, mtu kama Slaa si kama wewe unayeweza kujitosa sehemu bila kuwa na long term plan, the guy did his homework na ndio maana hata sasa hivi yuko Dodoma... slaa has produced watoto 23 nadi ya siku sabini, na chadema kinaudna serikali ya wapinzani

zaidi ya hayo CHADEMA wana kazi kubwa sana ya kukifanya chama hicho kuwa cha kitaifa zaidi... vyote hivi ni kazi...

Usijali sana walausihofu kupingana na watu wengine kimawazo kwani level yako ya uelewa ni ndogo kidogo... lakini ndio unakua taratibu, hata mimi nilikua mbumbumbu kama wewe nikidhani JK angekosa urais labda angelosti, kumbe si kweli, ana vitega uchumi vya kutosha hadi familia nzima iliingia uwanjani kuvilinda

In short naweza kusema kwamba, kama kuna siku unataka kuwa mwanasiasa, hakikisha mtaji wako usiwe 100% siasa...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom