Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 377
- 672
Mchumba wangu ana ujauzito ndo upo kwenye trimester ya kwanza ila amekuwa analalamika kupatwa na hizi shida
- Tumbo kuwaka moto
- Vichomi
- Mdomo unakuwa mchungu
- Halafu analalamika kichwa pia huwa kinakuwa kinamuuma
- Analalamika pia kwamba kwamba akila chakula anakaa mda mfupi na kutaka kula tena .. yaani ni kama akila chakula kinapotea.
Nimekuja hapa kuomba msaada ki ukweli maana nimeshazunguka vituo vya afya sasa kama vitatu ila bado sijakutana na daktar wa kutoa ushauri na matibabu ya kueleweka. Wengi wanaishia kusema hiyo ni kawaida tu 'unywe maji mengi' na 'mboga mboga' ila sasa naona shida imekuwa ni ile ile tu hamna hata nafuu.
Nitashukuru kama ntapata msaada wenu, mimi nipo Dar es salaam so ningependa kuelekezwa kwa daktari aliyepo pia Dar es salaam.
Ama hata najua kuna members humu ni wataalamu wa afya mawazo yenu pia ntayapokea.
Asante
- Tumbo kuwaka moto
- Vichomi
- Mdomo unakuwa mchungu
- Halafu analalamika kichwa pia huwa kinakuwa kinamuuma
- Analalamika pia kwamba kwamba akila chakula anakaa mda mfupi na kutaka kula tena .. yaani ni kama akila chakula kinapotea.
Nimekuja hapa kuomba msaada ki ukweli maana nimeshazunguka vituo vya afya sasa kama vitatu ila bado sijakutana na daktar wa kutoa ushauri na matibabu ya kueleweka. Wengi wanaishia kusema hiyo ni kawaida tu 'unywe maji mengi' na 'mboga mboga' ila sasa naona shida imekuwa ni ile ile tu hamna hata nafuu.
Nitashukuru kama ntapata msaada wenu, mimi nipo Dar es salaam so ningependa kuelekezwa kwa daktari aliyepo pia Dar es salaam.
Ama hata najua kuna members humu ni wataalamu wa afya mawazo yenu pia ntayapokea.
Asante