Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Inapunguza nguvu za kiume na mpaka kufikia nyoka kuwa nyoka wa kibisa (hana madhara). Maana watu 3 wameniambia kitu kimoja pindi wamenikuta nafanya kazi. Kama ni kweli, naomba kufahamu madhara wapatayo wanawake.