kwani ni nini kimetokea hapo kusababisha hiyo hali.....?
Chukua bodaboda mkuu, ushauri wa bure huo.
anaenda Mbeya ......aende na bodaboda.......?
Wadau foleni inatuumiza tunaenda mikoani lakini mpk ss gari haziendi foleni ni kubwa sana kuna mabasi,malori,gari binafsi hali ni mbaya plz usalama bara barani mtusaidie!