Rahajipe
Senior Member
- Oct 29, 2012
- 165
- 63
Jamani wana jf hapana shaka mu wazima sana!
Nakumbuka kama miezi miwili au mitatu iliyopita huyu mwana jf mwenzetu aliwahi kuleta wazo la members kuweza kukutana walau hata mara moja kwa mwaka, sasa binafsi hilo wazo sijui liliishia wapi!
Je, modes mnaweza kutupatia mrejesho ili tuone kama tunaweza kulifanyia kazi kutokana na wazo hilo wakati lilipowasilishwa wengi wetu tulilipokea kwa moyo mmoja.
Modes tafadhali kama inawezekana nanyi mtoe mchango wenu katika hili.
Nawasilisha.
Nakumbuka kama miezi miwili au mitatu iliyopita huyu mwana jf mwenzetu aliwahi kuleta wazo la members kuweza kukutana walau hata mara moja kwa mwaka, sasa binafsi hilo wazo sijui liliishia wapi!
Je, modes mnaweza kutupatia mrejesho ili tuone kama tunaweza kulifanyia kazi kutokana na wazo hilo wakati lilipowasilishwa wengi wetu tulilipokea kwa moyo mmoja.
Modes tafadhali kama inawezekana nanyi mtoe mchango wenu katika hili.
Nawasilisha.