Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Unajua bakhresa anamlipa kiasi gani na mshahara Wa mkuu Wa mkoa na utitiri wa Kazi zake? Azam ni kiyoyozi tu.. Ila ukuu Wa mkoa ndio unapambana na kina Lema na kibeneaLabda anatafuta ukuu wa mkoa