byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
Kuna jamaa yangu amekuja kuniomba ushauri kuwa afanyeje maana kampigia dem wake cm ili watoke out thn huyo dem kumjibu mshikaj kuwa nitakuwa busy so itakuwa ngumu kutoka .Ndipo mshikaji kaamua kwenda kumtembelea rafik yake ,cha ajabu kamkuta huyo dem akiwa anampikia mshikaj.je hii imekaaje?