Wana Jf Hacheni Upendeleo

Ta Kamugisha

JF-Expert Member
May 17, 2011
3,536
2,187
Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.

By Ta kamugisha
 
Ila kweli! Happy birthday mkuu! Wengne hata hatujui wap kuangalia birthday ya mtu.
 
Happy b'day to you mkuu. Nawe hacha kulaumu. Kajifunze kwanza Kiswahili mkuu
 
Haaahaaaaa! Haya mambo ya kuiga haya! Halafu wabongo mnaiga nusu! Unakuta mtu anataka best wishes na zawadi lkn hataki kuweka wazi umri wake! Wenye desturi hiyo hawafichi umri. Mimi simpi mtu yeyote pongezi ya kuzaliwa wala sitaki kupewa. Kwanza kama ni pongezi anastahili mama yako kwa kukuzaa! Wewe unapewa zawadi umejizaa??? Haaahaaaahaaaaa!
 
Haaahaaaaa! Haya mambo ya kuiga haya! Halafu wabongo mnaiga nusu! Unakuta mtu anataka best wishes na zawadi lkn hataki kuweka wazi umri wake! Wenye desturi hiyo hawafichi umri. Mimi simpi mtu yeyote pongezi ya kuzaliwa wala sitaki kupewa. Kwanza kama ni pongezi anastahili mama yako kwa kukuzaa! Wewe unapewa zawadi umejizaa??? Haaahaaaahaaaaa!

Kaka n 34 yrs, next time ntaweka shaka ondoa
 
Back
Top Bottom