bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
Esther, sasa uwe makini, watanzania wamekufahamu, wanakuhitaji uwe kiongozi wao, tia akili sasa, kama una mume au bwana, basi ajiheshimu, kama wewe ni mlevi acha sasa utakufa siku si zako... wewe kwa sasa ni public figure, utasema nakutisha..., sasa utatongozwa na vigogo... be carefull, sasa uwe mcha mungu zaidi, mdogo wangu yawezekana ukaja kuwa mwanamke wa kwanza kuwa rais 2020, ghafla nyota yako imeng'ara ktk medan ya uongozi, uwe selective unachokisema, epuka invitation zisizo na tija kwa chama
when a great thinker give a piece of advice .... I have no more to add
I salute you mkuu