Kwahiyo ulitaka mtoto wa Mkwele ajiite Ridhiwani Jakaya. ndivyo unavyotaka wewe?Hivi ni kwanini hatumii middle name? anatumia first and surname! ama ndio gear ya kutokea...
naomba nikuulize kama ulikuwa unajua kama kuna JF,na kama ulijua kwa nini hukujiunga mapema umejiunga jana?
Halazimiki kaka........
Habari Wana Jamvi..
Awali ya yote niombe radhi kwa kutofika mapema kuchangia thread hii, nilitumwa na mwajiri wangu nje ya eneo la kazi,sikuwa nimeona hii.
Asanteni sana kwa kunikaribisha kwa namna ya kipekee;i am truly humbled. Nimekuwa mfuatiliaji wa pembeni kwa muda mrefu lakini sasa hivi nipo humu miguu yote miwili. Binafsi huwa nafurahishwa na uhuru wa kuchangia mawazo uliopo humu ndani, na nadhani kama kuna kiongozi anayetaka kujua anatakiwa abadilishe nini na wapi, awe anapita humu na anazingatia yote ya msingi yanayoongelewa na jamii yake. This is "Jamii Forums". Ninashukuru kwa yote mema na mazuri yaliyosemwa juu yangu, maana yananipa nguvu za kusonga mbele, lakini pia nashukuru sana kwa yale ambayo hayaonekani kuwa mazuri au mema kwangu maana hayo hasa ndio yanayonijenga zaidi. Thank you..
mkuu swali nililomuuliza ni la msingi,kama alitarajia kuja kuwa mwanasiasa kwa vyovyote angeijua JF kwa kuwa ndio inanoa wanasiasa wa tanzania
Are you still there esther..
Karibu kamandaAm here..
esther will turn out to be a great politician of our time.She got the vibe.Karibu sana jamvin esther,one thing you got to understand is that wil be monitoring every step and move you make.''respect yourself''