Wana JamiiForums tukishindwa kuwa na msimamo kwenye hili, Basi JF haina tija, tuachane nayo tu

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Wakuu unajua JF bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. JF inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
 
Umeamua uilete na huku baada ya kuona kule hakuna mwitikio 😂!!
Screenshot_20190510-110211.jpg
 
Wakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
SIO YEYE!
 
Wakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
Nadhani hatufungamani na mambo kiimani bali hii ni platform huru kwa ajili ya mijadala mbalimbali, kupeana elimu na ufahamu.. Hatuna utaratibu wa kutoa maamuzi ama msimamo kwenye mambo yanayotokea kwenye jamii
 
Nadhani hatufungamani na mambo kiimani bali hii ni platform huru kwa ajili ya mijadala mbalimbali, kupeana elimu na ufahamu.. Hatuna utaratibu wa kutoa maamuzi ama msimamo kwenye mambo yanayotokea kwenye jamii
Swala kubwa sana hili..Ni lazima tuwe na msimamo kama kundi
 
Wakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
wewe unasemaje? tuanzia hapo!
 
Bado fumbo sana ilankwa akili ya haraka haraka ukiangalia hata kama wakibaini ni yy hawqtasema bayana watalificha kapuni kilinda heshima ake na tutabaki kusema sio yy
 
wewe unasemaje? tuanzia hapo!
Mi Nimechanganyikiwa mkuu mwanzo nilikuwa njia panda..ila watu wakaja nikaambiwa ni yeye nikashawishika, ila kuna watu wakaja na hoja nzito kuwa sio yeye nikawaamini, nilipowaamini tena watu wengine tofauti wakaja na hoja nzito zaidi kuwa ni yeye kabisa, wakaja wengine tena wakaniamisha sio yeye tena, na wengine, na wengine na wengine...Dah, kichwa kinaniuma
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom